Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge:Ugaidi Kenya hatari kwa utalii

MJADALA wa Bajeti Kuu ya Serikali umeendelea kushika kasi bungeni mjini hapa ambapo wabunge wameitaka Serikali kuwa makini na mashambulizi ya kigaidi yanayotokea nchini Kenya kwa vile yanaweza kuathiri sekta ya utalii nchini. Mbali ya onyo hilo wabunge pia wameitaka Serikali kuangalia uwezekano wa kuwatoza kodi wamiliki wa nyumba za kupanga, kama chanzo kipya cha kuongeza mapato yake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ugaidi Kenya waathiri utalii Tanzania

MATUKIO ya ugaidi yanayoendelea nchini Kenya yameathiri kwa kiwango kikubwa sekta ya utalii nchini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Dk. Ladislaus Komba,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya

Dar es Salaam. Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya

Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania anayetuhumiwa kwa ugaidi Kenya kizimbani

>Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.

 

10 years ago

Vijimambo

YULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU


Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi

>Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewataka wabunge kuwa kitu kimoja katika viti dhidi ya ufisadi na ugaidi na nchi yake itakuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tanzania kupambana na maovu hayo.

 

10 years ago

StarTV

Wabunge wataka utekelezaji changamoto zilizobainika Wizara ya Maliasili na Utalii.

Na Joyce Mwakalinga

Dodoma.

 

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha mbele ya kamati hiyo matumizi ya fedha zaidi ya shilingi bilioni 3.5 zilizokuwa zimekusanywa kwa ajili ya kuwalipa posho askari walioshiriki katika operesheni tokomeza.

 

Sanjari na agizo hilo pia imemtaka mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kufanya uchunguzi maalum wa jinsi pesa hizo zilivyotumika.

 

Agizo hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya...

 

10 years ago

Mtanzania

JK ajadili ugaidi Kenya

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.

Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...

 

10 years ago

Habarileo

Kenya wakumbuka ugaidi Westgate

KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani