Kenya wakumbuka ugaidi Westgate
KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya ugaidi ya Westgate yaanza Kenya
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72293000/jpg/_72293636_70899813.jpg)
Kenya's Westgate siege trial starts
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77730000/jpg/_77730342_77729297.jpg)
VIDEO: Kenya remembers Westgate a year on
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77722000/jpg/_77722314_023966326-1.jpg)
Kenya marks Westgate mall attack
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77637000/jpg/_77637172_0001920x1080_kd_0508.jpg)
9 years ago
TheCitizen21 Sep
Kenya marks Westgate siege anniversary
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Polisi wa Kenya lawamani baada ya shambulizi la Westgate
11 years ago
TheCitizen27 Jan
Kenya security Westgate attack warnings ignored: report
10 years ago
CloudsFM13 Nov
MTUHUMIWA NAMBA 1 WA ‘WESTGATE’ KENYA AUWAWA KWA RISASI
Mtuhumiwa namba 1 wa kesi ya mashambulizi ya jengo la Westgate,Samantha Lewthwaite ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zinasema mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa akifahamika kama “White Widow” ameuawa Ukraine katika mapambano ambapo alikuwa akipambana upande wa kikosi cha wapiganaji wa Aidar.
Samantha amekuwa akituhumiwa kuhusika na matukio kadhaa ya mashambulizi ikiwemo la Westgate Kenya 2013, japo mengi ya matukio hayo haikuwahi kuthibitika juu ya ushiriki wake katika matukio hayo.