MTUHUMIWA NAMBA 1 WA ‘WESTGATE’ KENYA AUWAWA KWA RISASI
Mtuhumiwa namba 1 wa kesi ya mashambulizi ya jengo la Westgate,Samantha Lewthwaite ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zinasema mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa akifahamika kama “White Widow” ameuawa Ukraine katika mapambano ambapo alikuwa akipambana upande wa kikosi cha wapiganaji wa Aidar.
Samantha amekuwa akituhumiwa kuhusika na matukio kadhaa ya mashambulizi ikiwemo la Westgate Kenya 2013, japo mengi ya matukio hayo haikuwahi kuthibitika juu ya ushiriki wake katika matukio hayo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI
10 years ago
CloudsFM31 Dec
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mtuhumiwa adaiwa kupigwa risasi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s72-c/IMG-20141231.jpg)
MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s1600/IMG-20141231.jpg)
Maofisa wa Polisi na Magereza wakiangalia mwili wa mtu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya na kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam saa 2:00 asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinapasha kuwa mwili wa marehemu huyo ambaye bado jina lake halijatambulika umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Muhimbili. Picha kwa hisani ya Father Kidevu.
10 years ago
Vijimambo22 Feb
MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA NCHINI KENYA
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2quvCX5p2TO75thhhDG0pUk-rRKKLalta5vNHiOGK5a-lxDvS2wEZnIOcEAgs8fZE3jGNCQt6DLn924UEASmXrp2/Moiuniinside.jpg?width=650)
Mwanafunzi mmoja wa kike kutoka Chuo cha Moi huko Eldoret, Kenya amekutwa amefariki dunia karibu na moja ya hosteli za chuo hicho baada ya kubakwa na kuuwawa kikatili.
Mwanafunzi huyo inasemekana kuwa ni wa mwaka wa tatu chuoni hapo akichukulia masomo ya Sanaa na Sayansi ya Jamii.
Tukio hilo la kinyama, limetokea usiku wa kuamkia leo na bado polisi haijawatia hatiani washtakiwa ama wahusika wa tukio hilo. Habari za mkasa huo zinazidi kuenea kila kona ya chuo, huku...
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mwanafunzi auwawa katika uvamizi Kenya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfKTftH0xy8L1-272ZBhkGvJT*1IikXLTfhMX08m3DWvjqROZyhmixElo-bCM7e3DhMPUEH4eq6AOt0-gavprVT/AHMED.jpg)
MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA
10 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
Habarileo22 Sep
Kenya wakumbuka ugaidi Westgate
KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.