Mtuhumiwa adaiwa kupigwa risasi
Hali ni tete katika Kijiji cha Lang’ata Bora wilayani Mwanga kutokana na askari polisi kumpiga risasi mvuvi katika kijiji hicho jana asubuhi na kumvunja mguu, tukio lililogubikwa na utata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa7ceEmWfCqaSqANSXxWQ*WK50*BdkPfddBDyVhouvx-5iAdCJpytkO5Ht-gD-1DCvBemmP4cPeyfUIWAMegoDuC/FRONT.jpg?width=650)
MAJAJI BONGO KUPIGWA RISASI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s72-c/IMG-20141231.jpg)
MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s1600/IMG-20141231.jpg)
Maofisa wa Polisi na Magereza wakiangalia mwili wa mtu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya na kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam saa 2:00 asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinapasha kuwa mwili wa marehemu huyo ambaye bado jina lake halijatambulika umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Muhimbili. Picha kwa hisani ya Father Kidevu.
10 years ago
CloudsFM13 Nov
MTUHUMIWA NAMBA 1 WA ‘WESTGATE’ KENYA AUWAWA KWA RISASI
Mtuhumiwa namba 1 wa kesi ya mashambulizi ya jengo la Westgate,Samantha Lewthwaite ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zinasema mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa akifahamika kama “White Widow” ameuawa Ukraine katika mapambano ambapo alikuwa akipambana upande wa kikosi cha wapiganaji wa Aidar.
Samantha amekuwa akituhumiwa kuhusika na matukio kadhaa ya mashambulizi ikiwemo la Westgate Kenya 2013, japo mengi ya matukio hayo haikuwahi kuthibitika juu ya ushiriki wake katika matukio hayo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7vdk52AymDIq4KwyMPC8hRtJ6tmlceWsxX9ReLcKGizEWPvlmBR-iAkTQXE25mjt7Png72xHALIjtPRNXPHVrwh/marais.jpg)
MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wawili wafa kwa kupigwa risasi
WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wanandoa wauawa kwa kupigwa risasi
MUME na mke wakazi wa kijiji cha Ndurumo kilichomo ndani ya makazi ya kambi ya wakimbizi ya Katumba wilayani Mlele, mkoani Katavi, wameuawa kwa kufyatuliwa risasi za moto wakiwa wamelala nyumbani mwao na mtu ambaye hajaweza kufahamika.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx-3Vtun6PRaBtrUC4eEsyIFoyIqijJ-oYJyYsSG83iQqwi4OEdOIvNMMcAe*Gic3cEXKJZ0vEPK5Y41IqnicsTC/nabado.jpg)
MAMA AFUNGUKA KANGA MOKO KUPIGWA RISASI