Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJAJI BONGO KUPIGWA RISASI

ENDAPO ulinzi binafsi na wa kazini hautaimarishwa kwa majaji, uwezekano ni mkubwa wa watu wabaya kuwavamia ofisini na kuwapiga risasi kwa sababu ya hukumu zao za kunyonga au kufunga watu jela maisha, Risasi Jumamosi limebaini. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.  Hilo limekuja kufuatia chanzo kimoja toka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kupiga simu kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa adaiwa kupigwa risasi

Hali ni tete katika Kijiji cha Lang’ata Bora wilayani Mwanga kutokana na askari polisi kumpiga risasi mvuvi katika kijiji hicho jana asubuhi na kumvunja mguu, tukio lililogubikwa na utata.

 

11 years ago

Habarileo

Wanandoa wauawa kwa kupigwa risasi

MUME na mke wakazi wa kijiji cha Ndurumo kilichomo ndani ya makazi ya kambi ya wakimbizi ya Katumba wilayani Mlele, mkoani Katavi, wameuawa kwa kufyatuliwa risasi za moto wakiwa wamelala nyumbani mwao na mtu ambaye hajaweza kufahamika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa kwa kupigwa risasi

WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...

 

10 years ago

GPL

MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI

BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.

ABRAHAM Lincoln; alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Aliuawa mwaka 1865 jijini Washington kwa kupigwa risasi kichwani kwa nyuma na John Wilkes. Alikuwa amekaa na mkewe. Bastola iliyotumika inaitwa Deringer.

INDIRA...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India

Mji wa Shivpur nchini India umejikuta matatani baada ya maafisa wake kuwataka watu wanaomiliki bunduki kuwapiga risasi Nguruwe wanaorandaranda mjini

 

11 years ago

GPL

MAMA AFUNGUKA KANGA MOKO KUPIGWA RISASI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
MAMA mzazi wa binti aliyesababisha wasichana wawili kujeruhiwa kwa kupigwa risasi na polisi baada ya kushiriki ngoma maarufu ya Kanga Moko iliyopigwa marufuku, huko Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es Salaam, amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na sherehe yoyote nyumbani kwake siku hiyo ya tukio. Grace Loy (20), mkazi wa Mwananyamala Mchangani, aliyepigwa risasi katika paja la...

 

10 years ago

GPL

ALIYEUAWA KWA KUPIGWA RISASI HUYU HAPA

Na Makongoro Oging’ YULE mahabusu aliyeuawa kwa kupigwa risasi kwenye uzio wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Desemba 31, mwaka huu jijini Dar ni huyu ambaye anaonekana sura vizuri ukurasa wa kwanza wa gazeti hili. Abdul Koroma baada ya kupigwa risasi. Anaitwa Abdul Koroma ni raia wa Siera Leone. Mpaka siku ya kifo chake alikuwa na miaka 33. Koroma aliuawa na askari magereza akijaribu kutoroka kesi ya madai ya kukutwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa Zantel auawa kwa kupigwa risasi

Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafael ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani