Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili wafa kwa kupigwa risasi

WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa risasi

Kamanda wa Polisi Kagera, Henry MwaibambeWATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI


SEHEMU YA KITI ALIPOKAA NA KUPIGWA RISASI,Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya luwadhibiti na risasi.PICHA ZOTE KWA MSAADA WA http://jijiletublog.blogspot.com/WAKIWA NJE YA APARTMENT YAO WALIKOKIMBILIAGARI WALIYOTUMIA KUPORAPOLISI WAKIWATIA KWENYE GARI MARA BAADA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...

 

10 years ago

GPL

MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI

BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.

ABRAHAM Lincoln; alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Aliuawa mwaka 1865 jijini Washington kwa kupigwa risasi kichwani kwa nyuma na John Wilkes. Alikuwa amekaa na mkewe. Bastola iliyotumika inaitwa Deringer.

INDIRA...

 

11 years ago

Habarileo

Wanandoa wauawa kwa kupigwa risasi

MUME na mke wakazi wa kijiji cha Ndurumo kilichomo ndani ya makazi ya kambi ya wakimbizi ya Katumba wilayani Mlele, mkoani Katavi, wameuawa kwa kufyatuliwa risasi za moto wakiwa wamelala nyumbani mwao na mtu ambaye hajaweza kufahamika.

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamke auawa kwa kupigwa risasi na polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Iglansoni, ameuawa kwa kupigwa risasi kichwani kwa bahati mbaya na askari polisi waliokuwa katika jitihada za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi.

Aliyeuawa ni Joyce Maragabu (65), ambaye anadaiwa kupigwa risasi na askari hao waliokuwa wakijihami na kundi la watu waliotaka kuwavamia ili wasimkamate mhalifu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela, alisema askari hao walikuwa wanataka kumkamata, Nkida...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa Zantel auawa kwa kupigwa risasi

Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafael ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi.

 

10 years ago

GPL

ALIYEUAWA KWA KUPIGWA RISASI HUYU HAPA

Na Makongoro Oging’ YULE mahabusu aliyeuawa kwa kupigwa risasi kwenye uzio wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Desemba 31, mwaka huu jijini Dar ni huyu ambaye anaonekana sura vizuri ukurasa wa kwanza wa gazeti hili. Abdul Koroma baada ya kupigwa risasi. Anaitwa Abdul Koroma ni raia wa Siera Leone. Mpaka siku ya kifo chake alikuwa na miaka 33. Koroma aliuawa na askari magereza akijaribu kutoroka kesi ya madai ya kukutwa...

 

10 years ago

GPL

MEYA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MKEWE

Daniel Crespo enzi za uhai wake. MEYA wa Bell Gardens, California nchini Marekani, Daniel Crespo ameuawa jana kwa kupigwa risasi na mkewe nyumbani kwake. Crespo alipigwa risasi wakati wa mzozo baina yake na mkewe ambapo mtoto wao wa kiume mwenye miaka 19 alijaribu kuingilia na kusukumwa na baba yake ndipo mtuhumiwa alipofyatua risasi. Marehemu alipoteza maisha akiwa njiani kupelekwa katika hospitali iliyo karibu na nyumbani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani