Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI


SEHEMU YA KITI ALIPOKAA NA KUPIGWA RISASI,Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya luwadhibiti na risasi.PICHA ZOTE KWA MSAADA WA http://jijiletublog.blogspot.com/WAKIWA NJE YA APARTMENT YAO WALIKOKIMBILIAGARI WALIYOTUMIA KUPORAPOLISI WAKIWATIA KWENYE GARI MARA BAADA...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa kwa kupigwa risasi

WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi

Polisi wawili mkoani Geita, G 6512 PC Hamis Zunzu na E1465 Koplo Said Mohamed wamejeruhiwa kwa kupigwa risasi na watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi raia wa Burundi na Mtanzania mmoja, huku jambazi mmoja akiuawa na wananchi baada ya kujeruhiwa na risasi mguu na kushindwa kukimbia.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva walevi wa mabasi wakiona cha moto

Mabasi yakiwa Ubungo.MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imefungia kwa miezi sita leseni za udereva za madereva sita wa mabasi wa mkoani Arusha na kuwafikisha mahakamani kwa tuhuma ya ulevi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wauzaji mbolea Mbeya wakiona cha moto

Kampuni tatu zinazouza mbolea jijini hapa, juzi zilitishiwa kufungiwa maduka yao na Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea (TFRA) baada ya kuvunja sheria za mauzo.

 

10 years ago

GPL

WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA

Muonekano wa nyumba baada ya kibatari kulipuka na kupelekea watoto wawili wa familia moja kufaliki dunia wakiwa ndani ya nyumba hiyo leo kijiji cha Mbela Wilayani, Misungwi mkoa wa Mwanza. Mmoja ya watoto hao baada ya kuteketea kwa moto.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...

 

10 years ago

GPL

MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI

BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.

ABRAHAM Lincoln; alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Aliuawa mwaka 1865 jijini Washington kwa kupigwa risasi kichwani kwa nyuma na John Wilkes. Alikuwa amekaa na mkewe. Bastola iliyotumika inaitwa Deringer.

INDIRA...

 

11 years ago

Habarileo

Wanandoa wauawa kwa kupigwa risasi

MUME na mke wakazi wa kijiji cha Ndurumo kilichomo ndani ya makazi ya kambi ya wakimbizi ya Katumba wilayani Mlele, mkoani Katavi, wameuawa kwa kufyatuliwa risasi za moto wakiwa wamelala nyumbani mwao na mtu ambaye hajaweza kufahamika.

 

10 years ago

GPL

ALIYEUAWA KWA KUPIGWA RISASI HUYU HAPA

Na Makongoro Oging’ YULE mahabusu aliyeuawa kwa kupigwa risasi kwenye uzio wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Desemba 31, mwaka huu jijini Dar ni huyu ambaye anaonekana sura vizuri ukurasa wa kwanza wa gazeti hili. Abdul Koroma baada ya kupigwa risasi. Anaitwa Abdul Koroma ni raia wa Siera Leone. Mpaka siku ya kifo chake alikuwa na miaka 33. Koroma aliuawa na askari magereza akijaribu kutoroka kesi ya madai ya kukutwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani