Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanafunzi auwawa katika uvamizi Kenya.

Watu wanaoshukiwa kuwa majambazi wavamia shule ya sekondari ya St. Charles Mutego na kuharibu mali pamoja na kuwajeruhi wanafunzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

MWANACHUO ABAKWA, AUWAWA NCHINI KENYA

Muonekano wa Chuo hicho.
Mwanafunzi mmoja wa kike kutoka Chuo cha Moi huko Eldoret, Kenya amekutwa amefariki dunia karibu na moja ya hosteli za chuo hicho baada ya kubakwa na kuuwawa kikatili.
Mwanafunzi huyo inasemekana kuwa ni wa mwaka wa tatu chuoni hapo akichukulia masomo ya Sanaa na Sayansi ya Jamii.

Tukio hilo la kinyama, limetokea usiku wa kuamkia leo na bado polisi haijawatia hatiani washtakiwa ama wahusika wa tukio hilo. Habari za mkasa huo zinazidi kuenea kila kona ya chuo, huku...

 

10 years ago

CloudsFM

MTUHUMIWA NAMBA 1 WA ‘WESTGATE’ KENYA AUWAWA KWA RISASI

Mtuhumiwa namba 1 wa kesi ya mashambulizi ya jengo la Westgate,Samantha Lewthwaite ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zinasema mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa akifahamika kama “White Widow” ameuawa Ukraine katika mapambano ambapo alikuwa akipambana upande wa kikosi cha wapiganaji wa Aidar.

Samantha amekuwa akituhumiwa kuhusika na matukio kadhaa ya mashambulizi ikiwemo la Westgate Kenya 2013, japo mengi ya matukio hayo haikuwahi kuthibitika juu ya ushiriki wake katika matukio hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uvamizi katika chumba cha habari Ufaransa

Takriban Watu 12 wameuawa na watano kujeruhiwa katika shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana nchini Ufaransa.

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU IGP AWAJULIA HALI ASKARI WALIOJERUHIWA KATIKA TUKIO LA UVAMIZI KITUO STAKISHARI, UKONGA

Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi D-IGP, Abrahaman Kaniki(katikati) akimuangalia majeruhi wa tukio la uvamizi wa kituo cha Polisi sitakishari konstebo Gaston Shadrack alipokwenda kumjulia hali jana katika hospitali ya taifa Muhimbili, askari huyo anaendelea na matibabu. Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi D/IGP, Abrahaman Kaniki(katikati) akimuangalia majeruhi wa tukio la uvamizi wa kituo cha Polisi sitakishari konstebo Gaston Shadrack alipokwenda kumjulia hali jana katika hospitali ya taifa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwalimu amuua mwanafunzi Kenya

Polisi nchini Kenya wamamkamata mwalimu aliyemchapa mwanafunzi wa darasa la saba hadi akafariki

 

10 years ago

BBCSwahili

Google yamtuza mwanafunzi ajuza Kenya

Marehemu mzee Maruge aliweka historia kwa kuwa mwanafunzi mkongwe zaidi kujiunga na shule na msingi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanafunzi jela kwa kumtusi rais Kenya

Mwanafunzi mmoja nchini Kenya amepewa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kumtukana rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

 

10 years ago

BBCSwahili

Chuo kikuu chafungwa baada ya mwanafunzi kufariki Kenya

Chuo kikuu cha Maseno, magharibi mwa Kenya kimefungwa baada ya mwanafunzi kufariki kufuatia makabiliano kati ya wanafunzi na polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani