NAIBU IGP AWAJULIA HALI ASKARI WALIOJERUHIWA KATIKA TUKIO LA UVAMIZI KITUO STAKISHARI, UKONGA
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi D-IGP, Abrahaman Kaniki(katikati) akimuangalia majeruhi wa tukio la uvamizi wa kituo cha Polisi sitakishari konstebo Gaston Shadrack alipokwenda kumjulia hali jana katika hospitali ya taifa Muhimbili, askari huyo anaendelea na matibabu.
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi D/IGP, Abrahaman Kaniki(katikati) akimuangalia majeruhi wa tukio la uvamizi wa kituo cha Polisi sitakishari konstebo Gaston Shadrack alipokwenda kumjulia hali jana katika hospitali ya taifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboASKARI WANNE NA RAIA WATATU NDIO WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE UVAMIZI WA KITUO KIDOGO CHA POLISI STAKISHARI UKONGA.
Askari wanne na raia watatu wamefariki Dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kituo kidogo cha Polisi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar kuvamiwa na watu wanaosadikika majambazi.
Majambazi hao waliokadiriwa kua wanane walivamia kituo hicho mida ya saa 4 usku Jumapili July 12, 2015 usiku wa kuamkia leo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Enerst Mangu amesema lengo la majambazi hayo ilikua ni kuiba silaha zilizokuwepo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uBT-csvC4WU/default.jpg)
10 years ago
GPLIGP, MKUU WA MKOA WATEMBELEA KITUO CHA POLISI STAKISHARI, DAR
9 years ago
Michuzi27 Nov
KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s72-c/IMG_20150714_173808.jpg)
MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s640/IMG_20150714_173808.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmf7sgKl5dE/VaYUMPqccsI/AAAAAAAABc4/weQXQ0JxyKE/s640/IMG_20150714_173219.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4ur97VhIdHrwwacMHra1YOjmjnrzAl7RP7DI3YZHKtOrvI*epTTORCUd5H4PNqWuicflqHnYJzsmc*IltS4ZSd/BREAKING.gif)
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
10 years ago
MichuziASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi31 Jan
9 years ago
Michuzi11 Dec
MADIWANI KUTOKA KATIKA MAJIMBO YA ILALA,UKONGA NA SEGEREA WAAPISHWA, UCHAGUZI WA KUMPATA MEYA NA NAIBU WAAHIRISHWA
Uchaguzi huo ulitakiwa kufanyika jana saa nne lakini kutokana na kuibuka kwa dosari hizo ambazo zilisababisha uchaguzi huo kuahirishwa.Baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi huo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala ambaye alikuwa mwenyekiti wa uchaguzi John Ngonyani alisema wameamua...