Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia
Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 May
Umoja wa Mataifa waonya njaa Somalia
Umoja wa Mataifa umeonya kwamba huenda nchi ya Somalia ikatumbukia tena katika janga la njaa kama lililotokea mwaka wa 2011
5 years ago
BBC14 Feb
Locust swarm: UN warns of famine in Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania and Somalia
The infestation devouring tonnes of crops in the region could create a food crisis, the UN says.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nzige waripotiwa kuingia Tanzania na Uganda kutoka Kenya
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania Anna Mgwira amethibitisha kuonekana kwa kundi la nzige katika baadhi ya vijiji vya Moshi.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia
Raia wa Uganda wanaoishi kaskakazini mwa wilya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibi mimea yao kulingana na kituo cha habari cha Uganda radio Nnetwork URN.
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya
Serikali ya Kenya imetoa tahadhari kuhusu tisho la nja kwa idadi kubwa ya watu kutokana na upungufu wa chakula.
11 years ago
MichuziMWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jana Jumatano ameungana na Mabalozi wengine wanaoziwakilishi Nchi zao katika Umoja wa Mataifa, kutia saini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Netherlandes) katika Umoja wa Mataifa kuwakumbuka watu 298 waliopoteza maisha baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria ya MH17 inayomilikiwa la Shirika la Ndege la Malaysia ...
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Balozi Tuvako Manongi,akiandika katika kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Nertherlands) kuomboleza familia 298  ambazo maisha yao yamekatishwa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria MH17 kuangushwa nchini Ukraine wiki iliyopita.
Balozi Manongi akiwaombea marehemu…
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'
Namba ya watu watakaokumbwa na baa la njaa duniani kuongezeka mara mbili.
10 years ago
MichuziTANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA WIKI HII
Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju akiwa na Kanali, Dkt. Edward Masalla kutoka Jeshi wa Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) na Afika Mkuu wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Bw. Abdalla Khamis, timu hii ndiyo iliyoiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa Marejeo wa Mkataba wa Silaha za Nyukilia (NP 2015) mkutano huu ambao kwa kawaida hufanyika kwa wiki nne...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania