Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya

Serikali ya Kenya imetoa tahadhari kuhusu tisho la nja kwa idadi kubwa ya watu kutokana na upungufu wa chakula.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa wanaume Kenya

Wanaume wanaowatelekeza watoto wao wakati wenyewe wana kazi za kuwawzesha kukimu maisha yao wawe macho maana wameanza kuanikwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari Kenya wakati wa Ramadhani

Kenya imeanzisha operesheni kukabili tishio la shambulizi la Al shabaab wakati wa mfungo wa Ramadhan

 

10 years ago

StarTV

Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.

Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.

 
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.

 
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.

 
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yatolewa

Ndoto ya Tanzania kucheza fainali za Afrika za wanawake mwaka huu zimefutika baada ya Twiga Stars kulazimishwa sare 1-1 na Zambia na hivyo kuondolewa kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 jana kwenye Uwanja Azam Complex.

 

9 years ago

BBCSwahili

Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand

Polisi nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme mmoja ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok

 

10 years ago

BBCSwahili

Ratiba ya mechi za EPL yatolewa

Chelsea itaanza utetezi wa taji la ligi ya Uingereza wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea katika wikiendi ya tarehe 8-9 mwezi Agosti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yatolewa Mali

Kundi la wafanyakazi wa afya nchini Mali leo wanapewa chanjo ya majaribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani