Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.
Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Tahadhari kuhusu gesi za sumu
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab
10 years ago
Bongo Movies22 May
JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa
Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..
By:JB on Instagram
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Tahadhari kwa wanaume Kenya
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Tahadhari Kenya wakati wa Ramadhani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-2-768x512.jpg)
ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA CORONA BADO HAITOSHELEZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s640/3-2-768x512.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo imeagizwa elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1-7.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya cha kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo ameagiza elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2..jpg)
Wadau wa Afya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Songwe (hayupo...