Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.

Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.

 
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.

 
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.

 
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake

Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kuhusu gesi za sumu

Umoja wa Mataifa umetoa tahadhari kuwa dunia nzima inapaswa kushughulikia mabadiliko ya hali ya anga haraka iwezekanavyo

 

11 years ago

BBCSwahili

UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mashambulizi yao nchini humo.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa

Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..

By:JB on Instagram

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya

Serikali ya Kenya imetoa tahadhari kuhusu tisho la nja kwa idadi kubwa ya watu kutokana na upungufu wa chakula.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa wanaume Kenya

Wanaume wanaowatelekeza watoto wao wakati wenyewe wana kazi za kuwawzesha kukimu maisha yao wawe macho maana wameanza kuanikwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari Kenya wakati wa Ramadhani

Kenya imeanzisha operesheni kukabili tishio la shambulizi la Al shabaab wakati wa mfungo wa Ramadhan

 

5 years ago

Michuzi

ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA CORONA BADO HAITOSHELEZI


Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo imeagizwa elimu Zaidi itolewe.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya cha kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo ameagiza elimu Zaidi itolewe.
Wadau wa Afya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Songwe (hayupo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani