Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria

Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaondoa marufuku ya Gambia

CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaondoa marufuku ya umri

Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limefutilia mbali marufuku ya umri wa wagombea viti vya uenyekiti katika uchaguzi wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamiliki wa Hawala wahojiwa Kenya

Wenye Hawala wahojiwa katika Idara ya ujasusi kujieleza na kujitetea kuhusu tuhuma zinazowakumba za kufanikisha ugaidi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni 13 za hawala zafungwa Kenya

Kenya imeamuru kufungwa kwa kampuni 13 za kusafirisha na kupokea fedha ili kuzuia ufadhili wa makundi ya kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake

Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

10 years ago

StarTV

Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.

Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.

 
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.

 
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.

 
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani