Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamiliki wa Hawala wahojiwa Kenya

Wenye Hawala wahojiwa katika Idara ya ujasusi kujieleza na kujitetea kuhusu tuhuma zinazowakumba za kufanikisha ugaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni 13 za hawala zafungwa Kenya

Kenya imeamuru kufungwa kwa kampuni 13 za kusafirisha na kupokea fedha ili kuzuia ufadhili wa makundi ya kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

10 years ago

BBCSwahili

Hawala:Mashirika ya misaada yaonya

Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

10 years ago

Habarileo

Usafi wa wabunge wahojiwa

Spika wa Bunge, Anne Makinda.SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahojiwa kumuondoa mwenyekiti

KAMATI ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, imewahoji madiwani 22 wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini akiwemo mbunge wa jimbo hilo, Stephen Ngonyani kuhusu kumuondoa madarakani...

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa

AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.

 

5 years ago

Michuzi

MAWAKILI WATARAJIWA WAHOJIWA KWA MTANDAO


Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akiwa ofisini kwake Jijini Dar es Salaam akimfanyia usaili  mhitimu wa Shule ya Sheria  kwa njia ya mtandao maarufu kama ”Video Conference” ikiwa ni maandalizi ya kuapishwa kuwa Wakili .Baadhi ya wahitimu wa Shule ya Sheria wakiwa wameketi kwenye chumba maalumu, Jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani