Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria
Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
CAF yaondoa marufuku ya umri
Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limefutilia mbali marufuku ya umri wa wagombea viti vya uenyekiti katika uchaguzi wake.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
CAF yaondoa marufuku ya Gambia
CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake
Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e4_fWLUZpUg/VDPpOs8_DvI/AAAAAAAGogU/jMevLXPT4Zg/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-07%2Bat%2B4.22.00%2BPM.png)
Serikali yaondoa zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa Lindi na Mtwara
![](http://3.bp.blogspot.com/-e4_fWLUZpUg/VDPpOs8_DvI/AAAAAAAGogU/jMevLXPT4Zg/s1600/Screen%2BShot%2B2014-10-07%2Bat%2B4.22.00%2BPM.png)
Zuio hilo limeondolewa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe.Mikutano hiyo ilizuiliwa kutokana na vurugu za wananchi waliokuwa wakipinga ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam hali iliyosababisha kuvunjika kwa amani na utulivu katika mikoa hiyo.
Katika vurugu hizo, watu kadhaa...
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Ghana yapoteza kesi dhidi ya marufuku
Ghana imepoteza kesi yake ya rufaa dhidi ya marufuku iliowekewa timu yake kushiriki katika dimba la wachezaji wasiozidi miaka 17
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Hawala:Mashirika ya misaada yaonya
Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania