Ghana yapoteza kesi dhidi ya marufuku
Ghana imepoteza kesi yake ya rufaa dhidi ya marufuku iliowekewa timu yake kushiriki katika dimba la wachezaji wasiozidi miaka 17
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
kikosi cha Taifa Stars.Swaziland...
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Ghana katika hatari ya marufuku ya FIFA
Shirikisho la kandanda la Ghana limo katika hatari ya kupigwa marufuku na fifa kufuatia uchunguzi wa Serikali.
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ghana kukosa kocha dhidi ya Guinea
Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria
Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eNOlZl1sdHA/Xmvv768oGNI/AAAAAAALjBk/3-S_j7kPCaweZYnFSAEqtQcPhpd6FdUzwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpnb4d60ba5d7135bp_800C450.jpg)
Kenya, Ghana na Gabon zaripoti kesi za kwanza za corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-eNOlZl1sdHA/Xmvv768oGNI/AAAAAAALjBk/3-S_j7kPCaweZYnFSAEqtQcPhpd6FdUzwCLcBGAsYHQ/s640/4bpnb4d60ba5d7135bp_800C450.jpg)
Wizara ya afya ya Ghana imesema watu waliorejea kutokea Uturuki na Norway wamepatikana na corona. Naye Waziri wa mawasiliano wa Gabon Edgard Miyakou ametangaza kuwa mtu mmoja amethibitishwa kuambukizwa virusi hivyo nchini humo. Serikali ya Gabon imesema aliyeambukizwa ni kijana mwenye umri wa miaka 27 raia wa...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kesi dhidi ya mawaziri 3 zatupwa Kenya
Mwendesha mashtaka nchini Kenya Keriako Tobiko imeagiza kesi ya ufisadi dhidi ya mawaziri 3 na seneta wa jimbo la Nairobi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania