Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana yapoteza kesi dhidi ya marufuku

Ghana imepoteza kesi yake ya rufaa dhidi ya marufuku iliowekewa timu yake kushiriki katika dimba la wachezaji wasiozidi miaka 17

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.kikosi cha Taifa Stars.Swaziland...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana katika hatari ya marufuku ya FIFA

Shirikisho la kandanda la Ghana limo katika hatari ya kupigwa marufuku na fifa kufuatia uchunguzi wa Serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana kukosa kocha dhidi ya Guinea

Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria

Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

5 years ago

Michuzi

Kenya, Ghana na Gabon zaripoti kesi za kwanza za corona


Nchi za Afrika za Kenya, Ghana na Gabon zimetangaza kuwepo kesi za watu walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona katika kile kinaachoonekana ni kuenea ugonjwa huo hatari duniani.

Wizara ya afya ya Ghana imesema watu waliorejea kutokea Uturuki na Norway wamepatikana na corona. Naye Waziri wa mawasiliano wa Gabon Edgard Miyakou ametangaza kuwa mtu mmoja amethibitishwa kuambukizwa virusi hivyo nchini humo. Serikali ya Gabon imesema aliyeambukizwa ni kijana mwenye umri wa miaka 27 raia wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop

Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya mawaziri 3 zatupwa Kenya

Mwendesha mashtaka nchini Kenya Keriako Tobiko imeagiza kesi ya ufisadi dhidi ya mawaziri 3 na seneta wa jimbo la Nairobi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani