Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya, Ghana na Gabon zaripoti kesi za kwanza za corona


Nchi za Afrika za Kenya, Ghana na Gabon zimetangaza kuwepo kesi za watu walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona katika kile kinaachoonekana ni kuenea ugonjwa huo hatari duniani.

Wizara ya afya ya Ghana imesema watu waliorejea kutokea Uturuki na Norway wamepatikana na corona. Naye Waziri wa mawasiliano wa Gabon Edgard Miyakou ametangaza kuwa mtu mmoja amethibitishwa kuambukizwa virusi hivyo nchini humo. Serikali ya Gabon imesema aliyeambukizwa ni kijana mwenye umri wa miaka 27 raia wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona

Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yapoteza kesi dhidi ya marufuku

Ghana imepoteza kesi yake ya rufaa dhidi ya marufuku iliowekewa timu yake kushiriki katika dimba la wachezaji wasiozidi miaka 17

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya

Idadi ya vifo Kenya kutokana na corona yafikia 58 huku wengine zaidi 147 wakithibitishwa kuambukizwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11

Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 127 Wathibitishwa kuambukizwa corona Kenya

Idadi ya maambukizi ya corona Kenya yazidi kuongezeka kila uchao

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281

Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 281 baada ya visa vingine 11 kuthibitishwa Jumatatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553

Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 16 wa corona

Kenya imethibitisha kuwa na wagonjwa 142 wa corona baada ya kufanya vipimo watu 530.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani