Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi dhidi ya mawaziri 3 zatupwa Kenya

Mwendesha mashtaka nchini Kenya Keriako Tobiko imeagiza kesi ya ufisadi dhidi ya mawaziri 3 na seneta wa jimbo la Nairobi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

JS Kabylie yashinda kesi dhidi ya Caf

JS Kabylie ya Algeria imeshinda rufaa yake dhidi ya adhabu ya Caf kutoshiriki mashindano ya kandanda barani Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea

Daktari wa zamani wa Chelsea Eva Carneiro anapanga kuendeleza na kesi dhidi ya Chelsea na aliyekuwa meneja Jose Mourinho.

 

11 years ago

GPL

KESI DHIDI YA RAIS KENYATTA YAAHIRISHWA

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. MAHAKAMA ya kimataifa ya uhalifu (ICC) imeahirisha kesi dhidi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta hadi  Oktoba 7, mwaka huu. Rais Kenyatta anatuhumiwa kwa makosa ya jinai kufuatia machafuko ya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 - 2008, madai ambayo ameyakanusha. Mahakama Kuu ya ICC, kupitia mwendesha mashitaka Fatou Bensouda, imekuwa ikiitaka serikali ya Kenya kutoa ushirikiano wa kutosha ili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imeahirisha kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta hadi mwezi Oktoba

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC, Bonsco Nteganda kuanza kesho katika mahakama ya ICC iliyoko the Haque Jumatano

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yapoteza kesi dhidi ya marufuku

Ghana imepoteza kesi yake ya rufaa dhidi ya marufuku iliowekewa timu yake kushiriki katika dimba la wachezaji wasiozidi miaka 17

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC,itatoa hukumu dhidi ya mbabe wa vita kutoka Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Germain Katanga.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop

Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani