UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake
Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV30 Sep
Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.
Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5g6FAwOMcew/XpVUSlc-YJI/AAAAAAALm5E/aOCUI68pvHMKz5rpfvb8zVbyHqtuzNuKQCLcBGAsYHQ/s72-c/6e26a972-6535-4f35-8d1f-64261608c7e6.jpg)
MADEREVA CHUKUENI TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Na WAMJW- MBEYA.
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuwaasa madereva wa vyombo vya usafiri kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maji na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndg. Anyitike Mwakitalima wakati wa uhamasishaji kwa wananchi wa kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya maambukizi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s72-c/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s640/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKl93PsUgyGY3zM2YPT6GgjILQFW1EiGmWo8*Z8yEkBMYG40UdOAhT85EjhYY5x97jhlsK0SEvTkjK6pnjIioFEz/Massawe.jpg?width=650)
MKOA WA KAGERA WACHUKUA TAHADHARI DHIDI YA EBOLA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RzXVkn4LRTk/XpQOxwQwOUI/AAAAAAALm04/uurEyVQGbds9rJ7Xi3Lpea7YDKOi78CnwCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-768x512.jpg)
TUSHEREKEE PASAKA TUKICHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA: RC MTAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RzXVkn4LRTk/XpQOxwQwOUI/AAAAAAALm04/uurEyVQGbds9rJ7Xi3Lpea7YDKOi78CnwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Bariadi Mjini (hawapo pichani), wakati alipofika kanisani hapo kutoa salamu za Pasaka kwa waumini hao leo Aprili 12, 2020 kushoto ni Mchungaji wa Kanisa hilo, Greyson Kinyaha na kulia ni Mchungaji Sarah Kimaro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-B-1024x683.jpg)