Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake

Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.

Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.

 
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.

 
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.

 
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria

Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yaondoa marufuku dhidi ya Hawala

Serikali ya Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.

 

5 years ago

Michuzi

MADEREVA CHUKUENI TAHADHARI DHIDI YA CORONA


Na WAMJW- MBEYA.

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuwaasa madereva wa vyombo vya usafiri kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona.

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maji na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndg. Anyitike Mwakitalima wakati wa uhamasishaji kwa wananchi wa kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya maambukizi ya...

 

10 years ago

Michuzi

TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO

Kumekua na wimbi la uhalifu Mtandao aina ya (Clickjacking unao fanana na cross-site scripting) - Unao sambaza picha zisizo rafiki katika walls za wengine ( Mara nyingi Muhusika anakua haoni hadi aambiwe) Ushauri ni Kua Uonapo Video Hizo Mjulishe muhusika ili aweze kubadili Password yake na kutoa taarifa facebook.

Pia Wewe uonae Usi Click (Bonyeza) kwani Kwa kufanya hivyo na wewe utakua umeathirikia.

Siku Njema - Yusuf Kileo

Hapo chini kuna post Mbili zenye Picha Tofauti katia Facebook ikiwa ni...

 

10 years ago

GPL

MKOA WA KAGERA WACHUKUA TAHADHARI DHIDI YA EBOLA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe akitoa ufafanuzi namna Serikali livyojipanga kukabiliana na ugonjwa wa Ebola mkoani humo kwa  kuongeza vifaa kinga na kuwawezesha kielimu  wataalam wa afya wanaofanya kazi ya uchunguzi wa dalili za ugonjwa huo walioko katika vituo vya ukaguzi mpakani.
Afisa Afya wa Kituo cha Ukaguzi cha Kabanga, mpakani mwa Tanzania na Burundi  Bw. Amos Mangaluke akipitia fomu...

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...

 

5 years ago

Michuzi

TUSHEREKEE PASAKA TUKICHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA: RC MTAKA


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka  akizungumza na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Bariadi Mjini (hawapo pichani), wakati alipofika kanisani hapo kutoa salamu za Pasaka kwa waumini hao leo Aprili 12, 2020 kushoto ni Mchungaji wa Kanisa hilo, Greyson Kinyaha na kulia ni Mchungaji Sarah Kimaro.aadhi ya waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Bariadi Mjini wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani