Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO

Kumekua na wimbi la uhalifu Mtandao aina ya (Clickjacking unao fanana na cross-site scripting) - Unao sambaza picha zisizo rafiki katika walls za wengine ( Mara nyingi Muhusika anakua haoni hadi aambiwe) Ushauri ni Kua Uonapo Video Hizo Mjulishe muhusika ili aweze kubadili Password yake na kutoa taarifa facebook.

Pia Wewe uonae Usi Click (Bonyeza) kwani Kwa kufanya hivyo na wewe utakua umeathirikia.

Siku Njema - Yusuf Kileo

Hapo chini kuna post Mbili zenye Picha Tofauti katia Facebook ikiwa ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Matumizi mabaya ya mitandao inashusha maana ya mawasiliano

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John NkomaUTUMIAJI mbaya wa huduma za simu na mtandao unaofanywa na baadhi ya Watanzania ndio chanzo cha mambo ya hovyo na yasiyo ya maadili katika huduma ya mawasiliano.

 

5 years ago

CCM Blog

DKT. BASHIRU AKEMEA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII

KIBAHA, Pwani
Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally amekemea watu wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha jamii na hata kufikia hatua ya kuzua vifo kwa wengine, kama alivyofanya anayejiita Kigogo2014 katika mtandao wa twitter alipotoa taarifa za uongo za kifo cha Mtendaji wa Jumuiya ya CCM wilayani Rombo.

Ameyasema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la CCM mkoa wa Pwani leo tarehe 23 Mei, 2020 akitokea Dar es salaam kuelekea Makao Makuu ya Chama na Serikali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jeshi laonya matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii

meja+komba

 Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), Luteni Kanali Erick Komba.

Na Mwandishi wetu.

Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) limetoa onyo kwa vijana na watanzania kwa ujumla kutokana na matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii, hasa kwa taarifa zinazohusu Jeshi.

Hatua hiyo imekuja baada ya mtu/watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uongo kuhusu vijana kwa mujibu wa sheria wanaoendelea na mafunzo katika makambi mbalimbali ya JKT wanakufa kwa ukatili.

Akikanusha taarifa hizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha

WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha Bagamoyo.Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi,Teknolojia na Mawasiliano,Profesa Patrick Makungu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’

NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Je tunazilinda simu zetu na matumizi mabaya?

Walipofika pale yule abiria akasema ameishiwa chaji kwenye simu yake, akamuomba dereva Juma simu yake atumie kupiga ili awasiliane na mwenyeji wake katika nyumba ya wageni; simu ya Juma nayo haikuwa na fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi mabaya ya Serikali yalitesa Taifa la Tanzania

Kwa kipindi kirefu, Serikali imekuwa na mikakati mbalimbali yenye lengo la kuboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa taifa kwa jumla.

 

10 years ago

Michuzi

MATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu 
 Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani