MATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu
Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rlyk4TUNr_w/Xuoaymoq1YI/AAAAAAALuO8/lwLHpm0pSxcFmAmv34GVpBSUTsIwytxKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.07%2BPM.jpeg)
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa Serikali Ipyana Mwakatobe leo Juni 17, 2020 imewataja washtakiwa hao kuwa ni, Peter Mrema na Adam Yusuf ambao ni waajiriwa wa wizara kama wathamini wa ardhi katika ofisi ya Mthamini Mkuu.
Mbele ya Hakimu...
11 years ago
Michuzi17 Apr
KAIMU MKURUGENZI TANESCO KIZIMBANI KWA MATUMIZI MABAYA YA OFISI
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Mkurugenzi TBS jela mwaka kwa matumizi mabaya ya madaraka
9 years ago
StarTV10 Nov
Serikali yapiga marufuku matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari
Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QB92lHOemks/VEE5GsmynEI/AAAAAAAGrXE/ctNWe4TMmEg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Je tunazilinda simu zetu na matumizi mabaya?
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
11 years ago
Habarileo03 May
‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha
WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...