Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi TBS jela mwaka kwa matumizi mabaya ya madaraka

>Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege na kumwamuru kurejesha Dola za Marekani 42,543 (Sh68,068,800).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA


WATUMUSHI wawili wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne yakiwemo ya matumizi mabaya ya madaraka na kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa Serikali Ipyana Mwakatobe leo Juni 17, 2020 imewataja washtakiwa hao kuwa ni, Peter Mrema na Adam Yusuf ambao ni waajiriwa wa wizara kama wathamini wa ardhi katika ofisi ya Mthamini Mkuu.
Mbele ya Hakimu...

 

11 years ago

Michuzi

KAIMU MKURUGENZI TANESCO KIZIMBANI KWA MATUMIZI MABAYA YA OFISI

Na Miriam Mosses  Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Robert Semtutu na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, akikabiliwa na mashitaka mawili ikiwemo kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh.milioni 200.   Washtakiwa wengine ni, aliyekuwa Afisa Ugavi wa Tanesco, Hanin Mahambo, Mkurugenzi wa fedha Lusekeo Kasanga,Mwanasheria Godson Ezekiel pamoja na Mkandarasi Martin Abraham.   Mwendesha Mashtaka wa...

 

10 years ago

Michuzi

Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.

Na. Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Meya wa Halmashauri Manispaa ya Tabora Mhe. Gulam Hussein Dewji Remtullah amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili kujibu tuhuma zinazomkabili. Akisoma hati ya malalamiko mbele ya Mwenyekiti wa Baraza hilo Mhe. Jaji (Mst.) Hamisi Msumi, Mwanasheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bw. Hassan Mayunga alilieleza Baraza hilo kuwa Mlalamikiwa akiwa Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa makusudi kabisa alikiuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Karl Peters: Mfano mbaya wa matumizi mabaya ya madaraka

Dk Karl Peters alizaliwa mwaka 1856 akiwa mtoto wa nane wa mchungaji wa Kilutheri. Baada ya masomo ya sekondari alisoma historia na falsafa katika vyuo vikuu vya Gottingen, Tubingen na Berlin alipohitimu shahada yake ya uzamivu.

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi TBS jela miaka mitatu

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela, baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili bila kibali.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii 

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.

Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya  punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili  Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...

 

10 years ago

Michuzi

MATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu 
 Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yapiga marufuku  matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari

Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani