Mkurugenzi TBS jela mwaka kwa matumizi mabaya ya madaraka
>Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege na kumwamuru kurejesha Dola za Marekani 42,543 (Sh68,068,800).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FYL7lpJZFbE/Xuoazdc_tJI/AAAAAAALuPE/-fRMQCewTWsCf4YDFqsBydupVqJoJXIVQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.05%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rlyk4TUNr_w/Xuoaymoq1YI/AAAAAAALuO8/lwLHpm0pSxcFmAmv34GVpBSUTsIwytxKwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.13.07%2BPM.jpeg)
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa Serikali Ipyana Mwakatobe leo Juni 17, 2020 imewataja washtakiwa hao kuwa ni, Peter Mrema na Adam Yusuf ambao ni waajiriwa wa wizara kama wathamini wa ardhi katika ofisi ya Mthamini Mkuu.
Mbele ya Hakimu...
11 years ago
Michuzi17 Apr
KAIMU MKURUGENZI TANESCO KIZIMBANI KWA MATUMIZI MABAYA YA OFISI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QB92lHOemks/VEE5GsmynEI/AAAAAAAGrXE/ctNWe4TMmEg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Dk Karl Peters: Mfano mbaya wa matumizi mabaya ya madaraka
10 years ago
Habarileo29 Aug
Mkurugenzi TBS jela miaka mitatu
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela, baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili bila kibali.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s72-c/00.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s1600/00.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.
Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...
10 years ago
MichuziMATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI
Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...
9 years ago
StarTV10 Nov
Serikali yapiga marufuku matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari
Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...