Matumizi mabaya ya mitandao inashusha maana ya mawasiliano
UTUMIAJI mbaya wa huduma za simu na mtandao unaofanywa na baadhi ya Watanzania ndio chanzo cha mambo ya hovyo na yasiyo ya maadili katika huduma ya mawasiliano.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s72-c/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s640/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
5 years ago
CCM Blog24 May
DKT. BASHIRU AKEMEA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII
Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally amekemea watu wanaotumia mitandao ya kijamii kupotosha jamii na hata kufikia hatua ya kuzua vifo kwa wengine, kama alivyofanya anayejiita Kigogo2014 katika mtandao wa twitter alipotoa taarifa za uongo za kifo cha Mtendaji wa Jumuiya ya CCM wilayani Rombo.
Ameyasema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la CCM mkoa wa Pwani leo tarehe 23 Mei, 2020 akitokea Dar es salaam kuelekea Makao Makuu ya Chama na Serikali...
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Jeshi laonya matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii
Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), Luteni Kanali Erick Komba.
Na Mwandishi wetu.
Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) limetoa onyo kwa vijana na watanzania kwa ujumla kutokana na matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii, hasa kwa taarifa zinazohusu Jeshi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mtu/watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uongo kuhusu vijana kwa mujibu wa sheria wanaoendelea na mafunzo katika makambi mbalimbali ya JKT wanakufa kwa ukatili.
Akikanusha taarifa hizo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s72-c/3.jpg)
Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s1600/3.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...
9 years ago
GPLMWANASHERIA WA WIZARA YA MAWASILIANO ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s72-c/unnamed.jpg)
mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziTCRA YAWAPIGA MSASA WASANII JUU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA MAWASILIANO
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
11 years ago
Habarileo03 May
‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.