TCRA YAWAPIGA MSASA WASANII JUU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA MAWASILIANO
Naibu Mkurungenzi wa Masuala ya watumiaji Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Issac Mruma akizungumza na Baadhi ya wasanii wa Muziki wa Kizazi kipya (Bongofleva) (hawapo pichani) juu ya matumizi ya mitandao ya kijamii, huku akiwataka kujilinda dhidi ya Mbinu za kitapeli,wizi na udanganyifu kupitia mitandao ya Mawasiliano, wakati wa semima ya siku moja iliyofanyika leo kwenye Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Jiji Dar es Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURRSF-89XjE1TMag*Tkde8n71UoDL0CZEGlh0tN5QSWo4PBRvmh0HWFT8QZcZk22QXuOyDMrOT-G-t2jMb5KyxNT/1.jpg)
BASATA, TCRA WAWATAKA WASANII KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxcDMj7E4Zs/VUD2KarkWWI/AAAAAAAHUGM/E4eETkhkpmA/s72-c/1.jpg)
BASATA, TCRA WATAKA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII KWA WASANII
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) mapema wiki hii wamelaani matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wasanii wakati wa programu ya Jukwaa la Sanaa iliyofanyika makao makuu ya Baraza hilo yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii’, Meneja mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy alisema kuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo kwa...
9 years ago
Bongo520 Nov
BASATA yawapiga msasa viongozi wa vyama vya wasanii
![DSC_0122](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_0122-300x194.jpg)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewapa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali viongozi wa vyama na taasisi zinazojihusisha na wasanii ili kujenga ufanisi zaidi katika sekta ya Sanaa.
Katibu Mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza
Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumanne hadi Alhamisi ya wiki hii yalijikita katika kuwajengea uwezo Wasanii kwenye maeneo ya uandaaji bajeti, uandaaji wa mipango mikakati na sheria ya hakimiliki na hakishiriki na mikataba kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s72-c/1.jpg)
TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PzM5jTpPv2E/Vbtg074rkTI/AAAAAAAAtic/69G3CN58UAg/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Apr
ZAPDD yawapiga msasa wanahabari Zanzibar juu ya kutete watu wenye ulemavu wa akili PDD
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Ally Uki katikati akitoa mada katika Semina ya kuwajengea Uwezo Wanahabari. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar (ZAPDD) Juma Salim Juma na kulia ni Mdau kutoka ZAPDD Khalid A Omar. Semina hiyo ilidhaminiwa na Mwenvuli wa Asasi za Kiraia.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Waandishi wa habari nchini wameazimia kuboresha Fani ya Uandishi na Utayarishaji wa Vipindi Vinavyohusu Watu wenye Ulemavu wa Akili ili...
10 years ago
Habarileo15 Mar
Matumizi mabaya ya mitandao inashusha maana ya mawasiliano
UTUMIAJI mbaya wa huduma za simu na mtandao unaofanywa na baadhi ya Watanzania ndio chanzo cha mambo ya hovyo na yasiyo ya maadili katika huduma ya mawasiliano.
9 years ago
GPLMWANASHERIA WA WIZARA YA MAWASILIANO ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s72-c/unnamed.jpg)
mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
MichuziWANAHABARI KILIMANJARO WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA INTERNET KWA SHUGHULI ZA UANDISHI WA HABARI