Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAPDD yawapiga msasa wanahabari Zanzibar juu ya kutete watu wenye ulemavu wa akili PDD

TWOOOO (1)

 

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Ally Uki katikati akitoa mada katika Semina ya kuwajengea Uwezo Wanahabari. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar (ZAPDD) Juma Salim Juma na kulia ni Mdau kutoka ZAPDD Khalid A Omar.  Semina hiyo ilidhaminiwa na Mwenvuli wa Asasi za Kiraia.

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Waandishi wa habari nchini wameazimia kuboresha Fani ya Uandishi na Utayarishaji wa Vipindi Vinavyohusu Watu wenye Ulemavu wa Akili ili...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi aupongeza Uongozi wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar Bibi Saada Hamad Ali akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Medali 32 walizopata wachezaji wa Zanzibar katika mashindano ya Kitaifa Mkoani Kibaha.Balozi Seif akimvisha Medali Mchezaji Fahad Juma Khamis ambae alishinda kwenye mashindano ya Kitaifa yaliyofanyika Mkoani Pwani Tanzania Bara.Mchezaji Huzaima Haji Ali wa Timu ya Mchezo wa Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar akivishwa Medali na...

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kulia) akipokea  msaada wa sh milioni mbili kutoka kwa Meneja wa NBC tawi la Zanzibar, Rajab Maalim (kushoto) zilizochangwa na wafanyakazi wa benki hiyo kwa ajili ya timu ya watoto wenye  ulemavu wa akili watakaoshiriki michezo ya olimpiki maalumu inayotarajiwa kuanza Juni 6 mwaka huu Wilayani Kibaha katika Mkoa wa Pwani. makabidhiano yalifanyika kwenye ofisi za makamu wa rais, Vuga, Zanzibar jana  Makamu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Multchoice yawapiga msasa wanahabari jijini Dar

CNN wakishirikiana na multichoice wafungua semina kwa waandishi wa habari juu ya nini kifanyike ili waandishi wa habari kutoka Tanzani waweze kufanya vizuri katika tuzo za mwandishi bora wa Africa tuzo ambazo mwaka huu zitafanyika Tanzania. Semina hiyo imefanyika jana katika hoteli ya New Africa Hoteli jijini Dar es Salaam

Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini, Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za “CNN MultiChoice African Journalist of the...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mafunzo juu ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa watu wenye Ulemavu-Ifakara Kilombero

SAM_0523

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na  Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya.

SAM_0515

Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB Wilaya ya Kilombero katika kuimba Wimbo wa Haki za Binadamu katika Mafunzo ya Siku Mbili yaliyowakutanisha...

 

11 years ago

GPL

MAFUNZO JUU YA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA KWA WATU WENYE ULEMAVU IFAKARA KILOMBERO‏

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya. Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB… ...

 

10 years ago

Michuzi

TCRA YAWAPIGA MSASA WASANII JUU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA MAWASILIANO

Naibu Mkurungenzi wa Masuala ya watumiaji Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Issac Mruma akizungumza na Baadhi ya wasanii wa Muziki wa Kizazi kipya (Bongofleva) (hawapo pichani) juu ya matumizi ya mitandao ya kijamii, huku akiwataka kujilinda dhidi ya Mbinu za kitapeli,wizi na udanganyifu kupitia mitandao ya Mawasiliano, wakati wa semima ya siku moja iliyofanyika leo kwenye Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Jiji Dar es Salaam.Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano...

 

9 years ago

Vijimambo

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR, MAFUNZO YATOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU PEMBA

Ofisa kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar ‘ZEC’ ofisi ya Pemba Suleiman Daud Mkasha ‘kushoto’ akiwasilisha mada katika mafunzo juu ya haki za watu wenye ulemavu kisiwani Pemba kuelekea uchaguzi mkuu, yaliyofanyika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa na kuandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Pemba, na kulia ni mtoa mada Mohamed Hassan Ali kutoka ZLSC.Mtoa Mada kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Hassan Ali, akiwasilisha mada katika mafunzo juu ya...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

10 years ago

Michuzi

TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014

 Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade akiongea na wadau kutoka Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Sheria Mpya ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015, Leo Jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Dkt. Samuel Nyantahe akimshukuru Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Rished Bade kwa uamuzi wa kuwakutanisha wadau wa sekta ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani