Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Multchoice yawapiga msasa wanahabari jijini Dar

CNN wakishirikiana na multichoice wafungua semina kwa waandishi wa habari juu ya nini kifanyike ili waandishi wa habari kutoka Tanzani waweze kufanya vizuri katika tuzo za mwandishi bora wa Africa tuzo ambazo mwaka huu zitafanyika Tanzania. Semina hiyo imefanyika jana katika hoteli ya New Africa Hoteli jijini Dar es Salaam

Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini, Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za “CNN MultiChoice African Journalist of the...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NHIF YAWAPIGA MSASA WAKOREA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi wa Mfuko wa bima ya Afya ya Jamii (CHF) Eugen Mikongoti, akizungumza na Wadau wa Maendeleo ya Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusiana na utekelezaji wa  mifumo ya habari na mawasiliano ya uzalishaji na ufuatiliaji wa madai ya watoa huduma za afya kwa wanachama katika mkutano  uliofanyika leo ndani ya Hoteli ya Blue Pearl  Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari wa (NHIF)   Ali Othman akitoa mada katika Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusu utekelezaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

PPRA YAWAPIGA MSASA WAFANYAKAZI WA TIA KUHUSU SHERIA MPYA YA MANUNUZI JIJINI DAR

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA) Dkt.Joseph .M.Kihanda mwenye suti nyeusi(waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mafunzo maalum kuhusu sheria mpya ya manunuzi ya umma yaani PPA 2011 na kanuni zake PPR.2013 ambao ni wadau wa kitengo cha manunuzi kinachosimamiwa na Bi.Juliana Musomi,Pius Seda,Salha Tego,Dickson Biya,Ezra Obilla,Kennedy Ndosi,Zubeda Mohamed,Alton Kumburu  na Stephen Mahinya),wajumbe wa bodi ya zabuni ya Taasisi hiyo ambao ni Bw.Zodo...

 

10 years ago

Dewji Blog

ZAPDD yawapiga msasa wanahabari Zanzibar juu ya kutete watu wenye ulemavu wa akili PDD

TWOOOO (1)

 

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Ally Uki katikati akitoa mada katika Semina ya kuwajengea Uwezo Wanahabari. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar (ZAPDD) Juma Salim Juma na kulia ni Mdau kutoka ZAPDD Khalid A Omar.  Semina hiyo ilidhaminiwa na Mwenvuli wa Asasi za Kiraia.

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Waandishi wa habari nchini wameazimia kuboresha Fani ya Uandishi na Utayarishaji wa Vipindi Vinavyohusu Watu wenye Ulemavu wa Akili ili...

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akizungumza na wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara. Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya, akitoa maelezo ya umuhimu wa kuvaa viatu vya usalama wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akimpongeza Nickson Cheka(kulia) baada ya kujibu vizuri maswali...

 

10 years ago

Habarileo

UTT yawapiga msasa ALAT

TAASISI ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTTPID), imeanza kutoa elimu ya umuhimu wa mipango miji kwa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ili kuepusha ujenzi holela unaoendelea katika baadhi ya maeneo nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

ZEC yawapiga msasa vijana Z’bar

Na Is-haka Omar, Zanzibar
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewataka vijana kutambua haki yao ya kushiriki kwa ukamilifu katika Uchaguzi Mkuu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanalinda amani ya nchi.
Rai hiyo ilitolewa jana na Kamishna wa ZEC, Ayoub Bakar Hamad, katika Kongamano la Vijana na Uchaguzi mjini Unguja.
Alisema utafiti mbalimbali unaonyesha kuwa katika uchaguzi uliopita kundi la vijana limekuwa likitumiwa wanasiasa kuvuruga uchaguzi na kukiuka taratibu zilizowekwa na tume...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali

1

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara  Bw. George Kasinga  toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...

 

5 years ago

Michuzi

GCLA YAWAPIGA MSASA WASIMAMIZI WA KEMIKALI KANDA YA MASHARIKI

WASIMAMIZI wa Kemikali zaidi ya 30 wa Kanda ya Mashariki wamepatiwa mafunzo maalumu ya siku mbili juu ya usimamizi salama wa kemikali kwa wasimamizi wa kemikali katika viwanda, makampuni na taasisi za Serikali.

 Mafunzo hayo yaliandaliwa na Kanda ya Mashariki ya siku mbili, yalifungwa rasmi na Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Sabanitho Mtega, katika ukumbi wa TACAIDS Dae es Salàam.

Kaimu mkemia mkuu wa Serikali, Mtega amewataka kutumia elimu waliyoipata katika kusimamia kwa umakini matumizi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini

IMG_7336

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)

IMG_7285

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.

IMG_7296

Baadhi ya waandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani