Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GCLA YAWAPIGA MSASA WASIMAMIZI WA KEMIKALI KANDA YA MASHARIKI

WASIMAMIZI wa Kemikali zaidi ya 30 wa Kanda ya Mashariki wamepatiwa mafunzo maalumu ya siku mbili juu ya usimamizi salama wa kemikali kwa wasimamizi wa kemikali katika viwanda, makampuni na taasisi za Serikali.

 Mafunzo hayo yaliandaliwa na Kanda ya Mashariki ya siku mbili, yalifungwa rasmi na Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Sabanitho Mtega, katika ukumbi wa TACAIDS Dae es Salàam.

Kaimu mkemia mkuu wa Serikali, Mtega amewataka kutumia elimu waliyoipata katika kusimamia kwa umakini matumizi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali

1

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara  Bw. George Kasinga  toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...

 

9 years ago

Michuzi

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA

Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu (Octoba 19 hadi 22) juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA.
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...

 

10 years ago

Habarileo

UTT yawapiga msasa ALAT

TAASISI ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTTPID), imeanza kutoa elimu ya umuhimu wa mipango miji kwa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ili kuepusha ujenzi holela unaoendelea katika baadhi ya maeneo nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

ZEC yawapiga msasa vijana Z’bar

Na Is-haka Omar, Zanzibar
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewataka vijana kutambua haki yao ya kushiriki kwa ukamilifu katika Uchaguzi Mkuu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanalinda amani ya nchi.
Rai hiyo ilitolewa jana na Kamishna wa ZEC, Ayoub Bakar Hamad, katika Kongamano la Vijana na Uchaguzi mjini Unguja.
Alisema utafiti mbalimbali unaonyesha kuwa katika uchaguzi uliopita kundi la vijana limekuwa likitumiwa wanasiasa kuvuruga uchaguzi na kukiuka taratibu zilizowekwa na tume...

 

10 years ago

Dewji Blog

Multchoice yawapiga msasa wanahabari jijini Dar

CNN wakishirikiana na multichoice wafungua semina kwa waandishi wa habari juu ya nini kifanyike ili waandishi wa habari kutoka Tanzani waweze kufanya vizuri katika tuzo za mwandishi bora wa Africa tuzo ambazo mwaka huu zitafanyika Tanzania. Semina hiyo imefanyika jana katika hoteli ya New Africa Hoteli jijini Dar es Salaam

Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini, Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za “CNN MultiChoice African Journalist of the...

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yawapiga msasa viongozi wa vyama vya wasanii

DSC_0122

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewapa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali viongozi wa vyama na taasisi zinazojihusisha na wasanii ili kujenga ufanisi zaidi katika sekta ya Sanaa.

DSC_0122
Katibu Mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza

Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumanne hadi Alhamisi ya wiki hii yalijikita katika kuwajengea uwezo Wasanii kwenye maeneo ya uandaaji bajeti, uandaaji wa mipango mikakati na sheria ya hakimiliki na hakishiriki na mikataba kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini

IMG_7336

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)

IMG_7285

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.

IMG_7296

Baadhi ya waandishi...

 

10 years ago

Michuzi

Wizara ya Habari na ESAMI yawapiga msasa Maafisa Vijana

Maafisa Vijana Nchini wametakiwa kutumia elimu wanayopata katika kuwaendeleza vijana kiuchumi ili kuwawezesha kushiriki katika shughuli za uzalishaji mali. 
Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi wakati wa Ufunguzi wa awamu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasiriamali na ubunifu.
Bw. Kajugusi alisema kuwa kwa kutambua umuhimu wa kuwaendeleza vijana nchini Wizara kwa Kushirikiana na Chuo cha...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yawapiga msasa viongozi wa elimu ngazi ya Mikoa

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Serikali itaendelea kutoa mafunzo kwa watendaji wa Halmashauri na Mikoa juu ya usimamizi wa fedha, manunuzi na takwimu katika masuala ya elimu nchini ili kuwajengea uwezo viongozi hao katika masuala ya usimamizi wa fedha za Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari awamu ya pili (MMES II).  Kauli hiyo imetolewa mjini Bagamoyo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia wakati akifunga mafunzo ya viongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani