Wizara ya Habari na ESAMI yawapiga msasa Maafisa Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-ITMa6fLe540/Vbc-KoYoZUI/AAAAAAAHsKs/Qkmk1OXevSs/s72-c/1.jpg)
Maafisa Vijana Nchini wametakiwa kutumia elimu wanayopata katika kuwaendeleza vijana kiuchumi ili kuwawezesha kushiriki katika shughuli za uzalishaji mali.
Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi wakati wa Ufunguzi wa awamu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasiriamali na ubunifu.
Bw. Kajugusi alisema kuwa kwa kutambua umuhimu wa kuwaendeleza vijana nchini Wizara kwa Kushirikiana na Chuo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Aug
Mifuko ya Pensheni yawapiga msasa watumishi wapya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](https://4.bp.blogspot.com/-pfQAXTubVWI/U_xymsVMqFI/AAAAAAAAW4k/o7f0BvPmxAI/s1600/Feruzi.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-OK_2q03c998/U_xymYIbocI/AAAAAAAAW4w/hIR9v04K43A/s1600/GEPF.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 Jun
ZEC yawapiga msasa vijana Z’bar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewataka vijana kutambua haki yao ya kushiriki kwa ukamilifu katika Uchaguzi Mkuu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanalinda amani ya nchi.
Rai hiyo ilitolewa jana na Kamishna wa ZEC, Ayoub Bakar Hamad, katika Kongamano la Vijana na Uchaguzi mjini Unguja.
Alisema utafiti mbalimbali unaonyesha kuwa katika uchaguzi uliopita kundi la vijana limekuwa likitumiwa wanasiasa kuvuruga uchaguzi na kukiuka taratibu zilizowekwa na tume...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bFT_pSYSlLE/VZeeEwNGDsI/AAAAAAAHmwE/BD2R-u5NI8Q/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
NEMC yawapiga msasa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-bFT_pSYSlLE/VZeeEwNGDsI/AAAAAAAHmwE/BD2R-u5NI8Q/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboTASWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO 'SUPER D' AKIWEMO NDANI
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI , VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA MABANDA MAONYESHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA.