Matumizi mabaya ya Serikali yalitesa Taifa la Tanzania
Kwa kipindi kirefu, Serikali imekuwa na mikakati mbalimbali yenye lengo la kuboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa taifa kwa jumla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
11 years ago
Habarileo03 May
‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Serikali yakiri matumizi mabaya ya fedha zake
11 years ago
Michuzi
Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali yapoteza bilioni 250/-
Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba, wakati akitoa taarifa juu ya mwenendo na hatua za kisheria kwa viongozi wa umma wanaokiuka maadili.Katikati ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio na kulia ni Ofisa Programu Dawati la Waangalizi Watendaji...
9 years ago
StarTV10 Nov
Serikali yapiga marufuku matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari
Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...
10 years ago
MichuziSERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI TAIFA
Uamuzi huo umetangazwa leo (Machi 3, 2015) jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Juma Nkamia mbele ya viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB. IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Je tunazilinda simu zetu na matumizi mabaya?