SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI TAIFA
Serikali imesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia leo (Machi 3, 2015) hadi kasoro zilizopo katika matumizi ya tiketi hizo zitakapoondolewa.
Uamuzi huo umetangazwa leo (Machi 3, 2015) jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Juma Nkamia mbele ya viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB. IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Serikali yasitisha matumizi picha ya Dk Magufuli
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-OvLL244lsqI/Vjz-fcJTvsI/AAAAAAAAolE/eri3fbivJCo/s1600/1.jpg)
SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA PICHA RASMI YA RAIS MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: Serikali yasitisha matumizi ya Picha Rasmi ya Rais Magufuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s640/images.jpg)
Awali majira ya saa 6: 00 mchana leo Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi hizo na umma wa Watanzania kuhusu kuanza tena kwa...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg12RAT6bXwGN8ttk0mKmVGCJjEn0GdKdISOMqF3Ue68N7HLxEm5NrRA3c*1MOzBsbrokJJEeKFvXqzq1asXwVB6/1.jpg)
TIKETI ZA ELEKTRONIKI MARUFUKU
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Tiketi za elektroniki aibu
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tiketi za elektroniki zazua balaa
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Ni tiketi za elektroniki Stars vs Msumbiji
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza kuwa mashabiki watakaotaka kuliona pambano baina ya timu ya taifa, Taifa Stars na Msumbiji ‘Mambaz’, watalazimika kununua tiketi za kielektroniki kupitia Kampuni ya Max...