Serikali yasitisha matumizi picha ya Dk Magufuli
Serikali imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Pombe Magufuli ambayo yalitakuwa kuanza leo kwa ofisi zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-OvLL244lsqI/Vjz-fcJTvsI/AAAAAAAAolE/eri3fbivJCo/s1600/1.jpg)
SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA PICHA RASMI YA RAIS MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: Serikali yasitisha matumizi ya Picha Rasmi ya Rais Magufuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s640/images.jpg)
Awali majira ya saa 6: 00 mchana leo Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi hizo na umma wa Watanzania kuhusu kuanza tena kwa...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
10 years ago
MichuziSERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI TAIFA
Uamuzi huo umetangazwa leo (Machi 3, 2015) jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Juma Nkamia mbele ya viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB. IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
10 years ago
Vijimambo27 Jan
SERIKALI YASITISHA MAFUNZO YA JKT
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt3-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt1-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt-600x360.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Serikali yasitisha vibali vya matangazo ya tiba asili