TIKETI ZA ELEKTRONIKI MARUFUKU
Rais wa TFF, Jamal Malinzi. SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vinane mpaka itakapotolewa taarifa nyingine. Habari zilizopatikana Dar es Salaam jana, zilisema TFF imeamua kufanya hivyo baada ya kubaini madudu mengi katika tiketi hizo. Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambao unatumika kwa tiketi hizo, haukutumia tiketi hizo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Tiketi za elektroniki aibu
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Tiketi za elektroniki zazua jambo
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tiketi za elektroniki zazua balaa
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Ni tiketi za elektroniki Stars vs Msumbiji
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza kuwa mashabiki watakaotaka kuliona pambano baina ya timu ya taifa, Taifa Stars na Msumbiji ‘Mambaz’, watalazimika kununua tiketi za kielektroniki kupitia Kampuni ya Max...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Tiketi za elektroniki zafeli Tanga
MASHABIKI wa soka mkoani Tanga, wameliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa elimu kuhusiana na mfumo mpya wa tiketi unaotolewa kwa njia ya kieletroniki kwani umewaleta adha. Wakizungumza jijini hapa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
TFF kutoa somo tiketi za elektroniki
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linatarajiwaa kutoa elimu kwa mashabiki juu ya matumizi ya tiketi za kielektroniki zinazotarajiwa kuanza kutumika rasmi katika raundi ya lala salama ya Ligi Kuu Tanzania...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Wanaozikandia tiketi za elektroniki wana yao
10 years ago
MichuziSERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI TAIFA
Uamuzi huo umetangazwa leo (Machi 3, 2015) jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Juma Nkamia mbele ya viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB. IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)