MADEREVA CHUKUENI TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5g6FAwOMcew/XpVUSlc-YJI/AAAAAAALm5E/aOCUI68pvHMKz5rpfvb8zVbyHqtuzNuKQCLcBGAsYHQ/s72-c/6e26a972-6535-4f35-8d1f-64261608c7e6.jpg)
Na WAMJW- MBEYA.
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuwaasa madereva wa vyombo vya usafiri kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maji na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndg. Anyitike Mwakitalima wakati wa uhamasishaji kwa wananchi wa kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya maambukizi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RzXVkn4LRTk/XpQOxwQwOUI/AAAAAAALm04/uurEyVQGbds9rJ7Xi3Lpea7YDKOi78CnwCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-768x512.jpg)
TUSHEREKEE PASAKA TUKICHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA: RC MTAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RzXVkn4LRTk/XpQOxwQwOUI/AAAAAAALm04/uurEyVQGbds9rJ7Xi3Lpea7YDKOi78CnwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Bariadi Mjini (hawapo pichani), wakati alipofika kanisani hapo kutoa salamu za Pasaka kwa waumini hao leo Aprili 12, 2020 kushoto ni Mchungaji wa Kanisa hilo, Greyson Kinyaha na kulia ni Mchungaji Sarah Kimaro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-B-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1gKwVC3jSRg/XkwLo5-FcBI/AAAAAAALeFg/Ut6q7oRITac3yGla1_jKXICAIsifNPcKwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1gKwVC3jSRg/XkwLo5-FcBI/AAAAAAALeFg/Ut6q7oRITac3yGla1_jKXICAIsifNPcKwCLcBGAsYHQ/s640/index.png)
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-5-768x512.jpg)
SIMIYU YAFUNGA KAMBI YA KITAALUMA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-5-768x512.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na wanafunzi wa Kidato cha Sita mkoani humo, kabla ya kufunga kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi hao ambayo ilikuwa ikiendelea katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa, kwa lengo la kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
5 years ago
MichuziBiteko awataka wachimbaji madini kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
5 years ago
MichuziCCM Z’BAR YATOA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewataka wananchi visiwani hapa kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga dhidi ya ugonjwa hatari wa virusi vya Corona ambao ulianzia nchi za nje na hivi sasa tayari umeripotiwa kuingia Tanzania.
Mbali na hilo, CCM imezitaka Ofisi zote za chama,Jumuiya,matawi na maskani za chama kutoa elimu na ufafanuzi wa kina kwa wanachama wao juu ya maelekezo yaliyotolewa na chama ngazi ya taifa dhidi ya kujikinga na ugonjwa huo.
Kauli hiyo...
5 years ago
MichuziMAKALA: Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA
Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XxNlzzusg8U/Xkv-RxNkdMI/AAAAAAALeCY/y49Hz_a2-ignXQM4a9QQYnMJa5VoHKusQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0014.jpg)
WAFANYA KAZI WA SALUNI WAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0014.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0016.jpg)
Mfanyabiashara katika Soko la Shangwe Kigamboni Jijini Dar es Salaam akiendelea kumhudumia mteja wake huku akiwa amevaa Barakoa ikiwa ni sehemu ya kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0017.jpg)
Mkazi wa eneo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam akisafisha mikono yake kwa sabuni na maji safi yanayotiririka ikiwa ni sehemu ya...