Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafi wa wabunge wahojiwa

Spika wa Bunge, Anne Makinda.SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahojiwa kumuondoa mwenyekiti

KAMATI ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, imewahoji madiwani 22 wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini akiwemo mbunge wa jimbo hilo, Stephen Ngonyani kuhusu kumuondoa madarakani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamiliki wa Hawala wahojiwa Kenya

Wenye Hawala wahojiwa katika Idara ya ujasusi kujieleza na kujitetea kuhusu tuhuma zinazowakumba za kufanikisha ugaidi

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa

AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime

Watu 10 wanashikiliwa na polisi kwa mahojiano baada ya kukamatwa na msako wa kikosi kazi kwa kushirikiana na Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya, baada ya kutokea kwa mauaji ya hivi karibuni wilayani Tarime dhidi ya mtu asiyefahamika wala aina ya bunduki yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanasiasa wa Mandera wahojiwa kuhusu makaburi

Wanasiasa watano kutoka eneo la Mandera nchini Kenya, waliokuwa wamekamatwa na polisi mapema hii leo, katika uwanja wa ndege wa Wilson mjini Nairobi, wameachiliwa huru.

 

10 years ago

Habarileo

Waliovuruga uchaguzi Bunda wahojiwa siku 3

WATUMISHI kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamehojiwa na vyombo vya ulinzi kwa siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano iliyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahojiwa kwa ufisadi wa mabilioni Mbeya

Mradi wa Maji Masoko Pipe Water Supply uliokwama kwa ufisadi wakati ukitekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, sasa umekuwa kaa wa moto baada ya waliokuwa viongozi wa halmashauri hiyo kuhojiwa kuhusiana na ufisadi wa mabilioni ya shilingi.

 

9 years ago

Habarileo

Wahojiwa kwa kuhamasisha maandamano batili

JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewashikilia kwa mahojiano Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Zeno Nkoswe, viongozi wengine wawili wa chama hicho, pamoja na wanachama watano kwa kuhamasisha maandamano yaliyokatazwa.

 

5 years ago

Michuzi

MAWAKILI WATARAJIWA WAHOJIWA KWA MTANDAO


Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akiwa ofisini kwake Jijini Dar es Salaam akimfanyia usaili  mhitimu wa Shule ya Sheria  kwa njia ya mtandao maarufu kama ”Video Conference” ikiwa ni maandalizi ya kuapishwa kuwa Wakili .Baadhi ya wahitimu wa Shule ya Sheria wakiwa wameketi kwenye chumba maalumu, Jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani