Waliovuruga uchaguzi Bunda wahojiwa siku 3
WATUMISHI kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamehojiwa na vyombo vya ulinzi kwa siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
10 years ago
Habarileo16 Dec
Waliovuruga uchaguzi mitaa kufukuzwa kazi
SERIKALI imesema itachukua hatua kali ikiwemo kuwafukuza kazi, kuwavua madaraka, kuwashusha vyeo na kuwakata mishahara viongozi walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha kasoro na kuvurugika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya maeneo nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eXBizGV5koI/VJBHD60O5hI/AAAAAAACwhI/g7iLPxQwbCQ/s72-c/5.jpg)
NAPE: WALIOVURUGA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAADHIBIWE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eXBizGV5koI/VJBHD60O5hI/AAAAAAACwhI/g7iLPxQwbCQ/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0jbhjjgtoZg/VJBKQLT4GbI/AAAAAAACwhQ/VF2b8yzPAXk/s1600/4.jpg)
10 years ago
VijimamboNAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO, ASEMA WALIOVURUGA UCHAGUZI WAADHIBIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.
Kimesema, watendaji hao wanastahili...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
10 years ago
Habarileo01 Dec
Usafi wa wabunge wahojiwa
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea.
9 years ago
Mwananchi22 Aug
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Unayopaswa kufanya siku ya uchaguzi