Unayopaswa kufanya siku ya uchaguzi
Zikiwa zimebaki siku 11 Watanzania wapige kura kwa ajili ya kumchagua rais wa awamu ya tano, elimu ya mpigakura bado ina umuhimu wa pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Aug
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mrema apewa siku 80 kufanya uchaguzi TLP
9 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ....: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU YA UHURU KUWA SIKU YA KUFANYA KAZI
Kwamba maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Kanisa kufanya maombi siku 40
KATIBU Mkuu wa Kanisa la Kipentekoste nchini, Askofu David Mwasota, amesema kanisa hilo linatarajia kuanza maombi ya siku 40 ili kuhakikisha masuala mbalimbali yanayolikabili taifa yanapata muafaka likiwepo suala la...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo
UK, London. Wananchi wa Uingereza leo Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura kuchagua wagombea wa vyama katika uchaguzi mkuu.
Awali katika kampeni za viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.
Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Kilombero, Ifakara washindwa kufanya uchaguzi
MABARAZA ya madiwani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero pamoja na Mji Mdogo wa Ifakara mkoani Morogoro yameshindwa kuzinduliwa na kufanya uchaguzi kutokana mgawanyiko wa kisheria na kutofikiwa kwa akidi ya wajumbe na hivyo kuahirishwa kwa muda wa ndani ya siku saba.