Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo
UK, London. Wananchi wa Uingereza leo Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura kuchagua wagombea wa vyama katika uchaguzi mkuu.
Awali katika kampeni za viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.
Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJai1ry5aGme8FA-bleWMEQ8gOvMOukNgEntnkOHOYer*3OC57HidiodXHDfGJbrFXwtH2kCXVWbYGPSlXN9cMGeh/UK.jpg?width=650)
UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO
10 years ago
BBCSwahili07 May
10 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MCLIXtVmZ472ZT2Y8mVbxuLWvzqmrp3peWnJ8kpYgJz7-jBHt85JrQBKJXqIKR-KiTZsybCNPztOj0Gf*1NT4uy/DavidCameronappearsonTheAndrewMarrShow.jpg?width=650)
DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Burkina Faso kufanya uchaguzi mkuu 2015
9 years ago
StarTV22 Nov
Ulanga mashariki,Lushoto kufanya  uchaguzi leo Â
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza rasmi kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa Wabunge na madiwani Novemba 22 mwaka huu, katika Majimbo ambayo hayakufanya uchaguzi Oktoba 25 kutokana na vifo vya wagombea katika majimbo mawili na kata sita.
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi , jimbo la Ulanga Mashariki Mkoani Morogoro na Lushoto Mkoani Tanga hayakuchagua wabunge, huku Kata sita zikishindwa kuchagua Madiwani.
Kaimu Mkurugenzi wa uchaguzi Emmanuel Kawishe ametoa taarifa kwa...
9 years ago
StarTV21 Oct
Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.
Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.
Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.
Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asG4Yx4OnAu2PoKC7x*OmzyrBB0yn5rymuOndh*PdNiW*H3w7o6WXb*0qUtAossRZ4r04EXcvbeRf0JUck7X2JC/LOGO_UTU.jpg?width=650)
UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) KUFANYA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI APRILI 26, 2014 BERLIN