UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJai1ry5aGme8FA-bleWMEQ8gOvMOukNgEntnkOHOYer*3OC57HidiodXHDfGJbrFXwtH2kCXVWbYGPSlXN9cMGeh/UK.jpg?width=650)
Baadhi ya viongozi wanaowania nafasi ya Uwaziri Mkuu Uingereza. VIONGOZI wa vyama na wagombea huko Uingereza wanafanya kampeni zao za mwisho kuwashawishi wapiga kura wawapigie kura kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo kesho (Mei 7, 2015). Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho
10 years ago
Dewji Blog07 May
Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo
UK, London. Wananchi wa Uingereza leo Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura kuchagua wagombea wa vyama katika uchaguzi mkuu.
Awali katika kampeni za viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.
Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi kesho
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva akitangaza taarifa ya Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa kesho Jumapili, Desemba 20, 2015 mara alipokutana na Waandishi wa Habari leo 19 Desemba, 2015 katika Ukumbi wa Tume uliopo Jijini Dar es Salaam.
Jaji Lubuva (kushoto) akifafanua kuhusu taarifa aliyoitoa iliyohusu Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa, kulia ni Mkurugenzi wa Uhcgauzi wa Tume hiyo BwanaKailima Ramadhani.
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAKANDARASI KUFANYA UCHAGUZI MPYA KESHO
10 years ago
BBCSwahili07 May
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Uchaguzi mkuu wa Afghanistan ni kesho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MCLIXtVmZ472ZT2Y8mVbxuLWvzqmrp3peWnJ8kpYgJz7-jBHt85JrQBKJXqIKR-KiTZsybCNPztOj0Gf*1NT4uy/DavidCameronappearsonTheAndrewMarrShow.jpg?width=650)
DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA