Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), imeiagiza mikoa yote nchini kuwasilisha taarifa kuhusu kasoro zilizojitokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa juzi ili iwachukulie hatua watendaji watakaobainika kuhusika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Dec
Waliovuruga uchaguzi Bunda wahojiwa siku 3
WATUMISHI kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamehojiwa na vyombo vya ulinzi kwa siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano iliyopita.
10 years ago
Habarileo16 Dec
Waliovuruga uchaguzi mitaa kufukuzwa kazi
SERIKALI imesema itachukua hatua kali ikiwemo kuwafukuza kazi, kuwavua madaraka, kuwashusha vyeo na kuwakata mishahara viongozi walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha kasoro na kuvurugika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya maeneo nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eXBizGV5koI/VJBHD60O5hI/AAAAAAACwhI/g7iLPxQwbCQ/s72-c/5.jpg)
NAPE: WALIOVURUGA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAADHIBIWE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eXBizGV5koI/VJBHD60O5hI/AAAAAAACwhI/g7iLPxQwbCQ/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0jbhjjgtoZg/VJBKQLT4GbI/AAAAAAACwhQ/VF2b8yzPAXk/s1600/4.jpg)
10 years ago
VijimamboNAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO, ASEMA WALIOVURUGA UCHAGUZI WAADHIBIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.
Kimesema, watendaji hao wanastahili...
10 years ago
Habarileo01 Dec
Tamisemi sasa ‘yavuta’ vitanzi vya wakurugenzi
SIKU zinaanza kuhesabika kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Manispaa kupata kibano, ikiwemo kuvuliwa nyadhifa iwapo watashindwa kutekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara.
11 years ago
Mwananchi30 May
Wachimba mchanga Dar sasa kukiona
10 years ago
Mwananchi08 Nov
CAG: Wabadhirifu, mafisadi sasa kukiona
10 years ago
Mwananchi18 Dec
‘Tamisemi isisimamie uchaguzi’
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Atakayefungasha bidhaa kwa majani sasa kukiona