Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamisemi sasa ‘yavuta’ vitanzi vya wakurugenzi

Kassim MajaliwaSIKU zinaanza kuhesabika kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Manispaa kupata kibano, ikiwemo kuvuliwa nyadhifa iwapo watashindwa kutekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki

 Naibu Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akishiriki zoezi la kuwapima uzito mmoja wa watoto waliokuwepo katika kituo cha Afya Bahi baada ya kufanya ziara ya kukagua utoaji Huduma za afya katika wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma.  Naibu waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na wagonjwa Mara baada ya kukagua wodi ya akina mama katika Kituo cha afya bahi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na watumishi na wakuu wa idara katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona

Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), imeiagiza mikoa yote nchini kuwasilisha taarifa kuhusu kasoro zilizojitokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa juzi ili iwachukulie hatua watendaji watakaobainika kuhusika.

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM sasa wakurugenzi wenye hati chafu kushughulikiwa

 Paul MakondaUMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wametaka hatua ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia kuwachukulia hatua wakurugenzi waliovuruga uchaguzi wa serikali isiishie hapo, bali pia iwachukulie hatua wakurugenzi waliopata hati chafu.

 

11 years ago

Michuzi

BODI YA WAKURUGENZI MUWSA WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI HIMO NA MOSHI

Wajumbe wa bodi wakiongozwa na mwenyekiti wao Shally Raymond (shoto)wakushuka vilima na kuluka vijito hatimaye wakafika mto Ghona katika mji mdogo wa Himo ambako kuna chemichemi ya maji inayotumika kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo la himo. Wajumbe wa Bodi waiangalia Chemichemi hiyo huku wakipata maelezo toka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja. Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Dk. Kigwangala aitaka TAMISEMI kuwashirikisha Wananchi kubuni Vyanzo vya Mapato

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dk Hamis Kigwangala amezitaka Sekretarieti za mikoa na halmashauri zote nchini kuhakikisha kwamba inawashirikisha wananchi katika maandalizi ya bajeti kubuni vyanzo vya mapatao.
 Akiwasilisha maoni ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bungeni leo kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha 2013, mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU TAMISEMI AKUTANA NA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR LEO

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Na Abdulaziz Lindi,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel Money yavuta wateja

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel imezidi kujiongezea idadi ya wateja tangu kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine moja kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rufaa ya Wambura yavuta wanachama

KIKAO cha Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kilichokutana jana jijini Dar es Salaam kujadili rufaa ya Michael Wambura, kiliwavuta baadhi ya mashabiki na wanachama wa klabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani