Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Na Abdulaziz Lindi,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU

Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo. Ilemela ni moja kati ya majimbo saba yanayounda Mkoa wa Mwanza ambalo linaongozwa na Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA). Wiki iliyopita, Uwazi lilitembelea Kata za Nyakato, Mecco, Buzuruga, Nyasaka, Ilemela, Kahama, Kiseke, Sangabuye, Kayenze, Bugongwa, Shibuda, Pasiansi, Kawekamo, Kitangiri, Kirumba,...

 

11 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI

Meneja Mawasiliano, Masoko na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin pamoja na Mwanamitindo Flaviana Matata wakitoa mabegi kwa mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Mnengulo mkoani Lindi. Jumla ya wanafunzi 650 wa shule zilizopo katika  Halmashauri za Lindi na Nachingwea  mkoa wa Lindi wamenufaika na msaada huo wa mabegi hayo yenye vifaa mbalimbali vya shule, msaada huo umetolewa kwa pamoja kati ya PSPF na...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AZURU LINDI/ AHUTUBIA MKUTANO MKUBWA LINDI MANISPAA, AKABIDHI BATI 100 NA VYOMBO VYA BENDI SHULE YA SEKONDARI ANGAZA

Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akipokewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Mwantumu Mahiza mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Lindi tarehe 15.3.2015 kuanza ziara ya kikazi ya siku 5 kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea kadi kutoka kwa aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Kata ya Tulieni Mjini Lindi wa Chama...

 

5 years ago

Michuzi

DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAO VITENDO VYA KIKATILI

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Ruth Msafiri (kushoto) akisalimiana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii Imelda Kamugisha(kulia)alipokuwa akipokea msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili.Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu Maendeleo ya Jamii Imelda Kamugisha akielezea lengo la msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili wakati msafar huo ulipowasili mkoani Njombe.
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa...

 

5 years ago

Michuzi

DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kukamatwa kwa walimu mkoani Njombe watakaobainika kuwafanyia vitendo vya kikatiki wanafunzi ili kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelea kutoka nchini.

Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya  viboko vya kupitiliza na...

 

5 years ago

Michuzi

WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO

Kaimu Mkuu wa Kanda ya Magharibi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Gerald Mwaitebele akitoa ufafanuzi leo wakati mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...

 

11 years ago

Michuzi

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro watembelea bunge dodoma

Kundi la kwanza la Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro wakiwa katika Picha ya Pamoja na Mbunge wao wa Rombo Joseph Selasini (mstari wa nyuma katikati). Kundi la pili la Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro wakiwa katika Picha ya Pamoja na Mbunge wao wa Rombo Joseph Selasini (mstari wa nyuma katikati).  Mbunge wa  Chama cha Wananchi CUF Mhe.Hamad Rashid akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza...

 

11 years ago

Michuzi

WALIMU WA SEKONDARI WAKIANGALIA KWENYE MTANDAO VITUO VYAO VYA KAZI WALIVYOPANGIWA

Walimu wa sekondari wakiwa duka la Kwetu Net (Internet Cafe) mjini Iringa leo wakiangalia kwenye mtandao halmashauri walizopangiwa  kwenda ambako watapangiwa shule za kufanyia kazi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani