Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO

Kaimu Mkuu wa Kanda ya Magharibi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Gerald Mwaitebele akitoa ufafanuzi leo wakati mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Kibaha Vijijini Doris Semkiwa ambaye anamwakilisha Afisa Elimu wa Halmashauri ya Kibaha Vijijini akitoa mada kwa Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani Kibaha Vijijini mkoani Pwani.Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

10 years ago

Michuzi

Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Na Abdulaziz Lindi,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima watakiwa kujua umuhimu wa simu

WAKULIMA nchini wametakiwa kufahamu umuhimu wa teknolojia ya simu za mkononi katika kilimo na kupewa fursa ya kutoa mawazo yao ili kuongeza tija katika kupambana na janga la njaa. Kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Tabora wafundwa

WAHITIMU 175 wa Chuo cha Ualimu Tabora wameaswa kutumia mafunzo ya ualimu waliyopata kwa uadilifu na kamwe wasije kuwa mzigo kwa serikali na jamii. Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,

Hidaya

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IGUNGA MKOANI TABORA JIONI LEO,KUANZA ZIARA YA SIKU 10 MKOANI HUMO.

 Pichani Kulia ni  Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora,Ndugu Hassani Wakasubi akimpokea mgeni wake,Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na Ujumbe wake alipowasili jioni ya leo katika kijiji cha Makomelo wilayani Igunga mkoani Tabora kwa ziara ya siku 10,ya Kuimarisha uhai wa chama,kukagua miradi  ya Maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM,Kukagua maandalizi ya uchaguzi za serikali za mitaa pamoja na kusikiliza kero za Wananchi.   Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Mh.Fatma Mwasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu watakiwa kuzielewa sheria za utumishi

CHAMA cha Walimu (CWT) wilayani Morogoro, kimewataka walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani humo kuzisoma mara kwa mara sheria za utumishi wa umma, kuzielewa na kuzitumia ipasavyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani