Walimu watakiwa kuzielewa sheria za utumishi
CHAMA cha Walimu (CWT) wilayani Morogoro, kimewataka walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani humo kuzisoma mara kwa mara sheria za utumishi wa umma, kuzielewa na kuzitumia ipasavyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Dk. Sheni: Someni katiba na kuzielewa sheria
NA MWANDISHI MAALUMU, ZANZIBAR
WAKUU wa mikoa na wilaya wametakiwa kuisoma mara kwa mara na kuielewa katiba pamoja na sheria nyingine za nchi.
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Sheni, alitoa agizo na kusema wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku, wanapaswa kuzingatia katiba na sheria.
Alitoa agizo hilo jana, alipokuwa akifungua mkutano elekezi kwa wakuu wa mikoa na wilaya za Zanzibar.
Alizitaja baadhi ya sheria ambazo wakuu hao wanapaswa kuzielewa na kuzitekeleza kila siku ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Habarileo13 Sep
Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-b1CDCHE0JGw/VEoG_Y17jqI/AAAAAAAAYT4/uT7GKxWKC5E/s72-c/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
WAJUMBE IDARA YA UTUMISHI WA WALIMU WATEMBELEA NYUMBA ZA PSPF LUKOMBE, MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-b1CDCHE0JGw/VEoG_Y17jqI/AAAAAAAAYT4/uT7GKxWKC5E/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DC8GItq2YwM/VEoG_sofEyI/AAAAAAAAYT8/Rz1BDhNVqG4/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GpgKItjhU08/VEoImrQOAHI/AAAAAAACtb4/9eHDiM5Mx1Q/s72-c/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
Wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu watembelea nyumba za PSPF zilizopo eneo la Lukobe mjini Morogoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GpgKItjhU08/VEoImrQOAHI/AAAAAAACtb4/9eHDiM5Mx1Q/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zJSTlm8KUZ0/VEoIjEJHO9I/AAAAAAACtbo/dIm6IJKyerM/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RY9*J6dC0UBgGzM1TGTuCSM*lZqA8ZP1MmP-1G2CgucxmVSe95mROTod3JP4xSEjEXKZhstqR2JBLCDjmdk3VY/1.jpg?width=650)
TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Walimu msingi watakiwa kuwa na diploma
SERIKALI imesema kuanzia mwaka huu, walimu wa shule za msingi wanatakiwa kuwa na cheti cha taaluma kuanzia ngazi ya diploma. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Katibu...
10 years ago
VijimamboWAZAZI WATAKIWA KUWASAIDIA WALIMU KUONGEZA UFAULU