Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch aja na mpya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch ametaka kuahirishwa kwa vikao vya chombo hicho na mabilioni ya fedha yatakayookolewa yaelekezwe katika malipo ya walimu ambao wanadai malimbikizo yao serikalini.

 

11 years ago

Michuzi

UJUMBE WA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YA UGANDA WATEMBELEA TUME YA UTUMISHI YA MAHAKAMA YA TANZANIA

 Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama ya Tanzania akibadilishana mawazo na Viongozi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama ya Uganda mapema Leo a alipotembelea ofisini kwa Mhe. Jaji Mkuu, wa pili kulia ni Mhe. Jaji James Ogoola, Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wa Uganda, wa tatu kulia ni Mhe. Jaji Dk. Esther Kisaakye ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama ya Uganda, wa kwanza kushoto ni Mhe. Jaji...

 

10 years ago

Michuzi

UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA).
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Oluoch: Nilivyoliona Bunge la Katiba

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekiel Oluoch, ni miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyetia fora kwa umahiri wake wa kujenga hoja. Huyu ni...

 

11 years ago

Habarileo

Maalim Seif ataka mazungumzo Katiba mpya

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Serikali imeshatumia fedha nyingi za wananchi kwenye mchakato wa kuandaa Katiba mpya, hivyo kitendo cha kushindwa kukamilisha mchakato huo kwa wakati, itakuwa ni hasara kubwa kwa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu watakiwa kuzielewa sheria za utumishi

CHAMA cha Walimu (CWT) wilayani Morogoro, kimewataka walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani humo kuzisoma mara kwa mara sheria za utumishi wa umma, kuzielewa na kuzitumia ipasavyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani