WAZAZI WATAKIWA KUWASAIDIA WALIMU KUONGEZA UFAULU
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Amani Kajuna akizungumza na wahitimu wa Mahafali ya kidato cha sita katika shule ya Sekondari Usongwe ambapo alikuwa mgeni rasmi.
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Amani Kajuna akigawa vyeti na zawadi kwa wahitimu wa Mahafali ya kidato cha sita katika shule ya Sekondari Usongwe ambapo alikuwa mgeni rasmi.
.Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Amani Kajuna akivishwa skafu katika Mahafali ya kidato cha sita katika shule ya Sekondari Usongwe ambapo alikuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Motisha kwa walimu kuongeza ufaulu
KUTOTOLEWA kwa motisha kwa walimu na wanafunzi katika shule za sekondari, ni kati ya sababu zinazosababisha shule nyingi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya taifa nchini. Mkurugenzi wa Elimu...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ufaulu wa walimu waongezeka
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Chuo cha Mtakatifu Joseph kuongeza walimu wa Sayansi
9 years ago
Habarileo24 Nov
DC ahimiza walimu kushirikiana na wazazi
MKUU wa Wilaya Tarime, Glorious Luoga amewahimiza walimu kushirikiana na wazazi ili kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa, hatua aliyosema itasaidia kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali.
11 years ago
MichuziWAKULIMA WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Prof. Maghembe: Wazazi shirikianeni na walimu
WAZAZI katika Kijiji cha Kriya, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu, ili watoto waliopo katika Shule ya Sekondari Kriya waweze kuwa na ufaulu mzuri kuliko ilivyo sasa. Akizungumza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NuzsL5gMeoo/XnM-qzVuwcI/AAAAAAAC1Qc/Ne8tl4XhRJUvaKA1hhmN64-UELMwIFjhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8051.JPG.jpg)
MAOFISA AFYA MIPAKANI WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NuzsL5gMeoo/XnM-qzVuwcI/AAAAAAAC1Qc/Ne8tl4XhRJUvaKA1hhmN64-UELMwIFjhgCLcBGAsYHQ/s200/IMG_8051.JPG.jpg)
Waziri Ummy ameyasema hayo jana Jumatano Machi 18, katika Mpaka Namanga unaotenganisha Tanzania na Kenya wakati alipokuwa akifanya ukaguzi ukaguzi katika eneo hilo.
Alisema ni muhimu kufanya ukaguzi wa kina zaidi ikiwamo kuhoji wasafiri kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ok_6DtVPinM/VWcWGCQGvGI/AAAAAAAHabk/dR2htwbj9z8/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Watumishi Bodi ya Mikopo watakiwa kuongeza ufanisi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ok_6DtVPinM/VWcWGCQGvGI/AAAAAAAHabk/dR2htwbj9z8/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Na Mwandishi wetu
Watumishi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu...