Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameziagiza halmashauri za wilaya za mkoa huo, kuhakikisha kuwa kila kikundi cha ufugaji nyuki kinafikisha mizinga 100 na kinachukua hatua za kuzuia uharibifu wa mazingira, ukiwemo ukataji wa miti .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Tanzania kuongeza uzalishaji wa asali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v6lsyyeUhYQ/XtelqSIT2UI/AAAAAAALsf4/V0n_MZpcWdkog4DcGUQCsidh_bj8BF-JACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kwandikwa awataka wananchi wa Bukoba kuongeza uzalishaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-v6lsyyeUhYQ/XtelqSIT2UI/AAAAAAALsf4/V0n_MZpcWdkog4DcGUQCsidh_bj8BF-JACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zVswxXU1m9I/XtelqgepJnI/AAAAAAALsf8/3KL2utP6t4QUrB-862y3onXv5PMYwwqcQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nk29XUzcl-k/XtelqtXTBvI/AAAAAAALsgA/0MTsdUkBdnsYKdhK7T2ATMNlOhEh9UXNgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oSxgUUTFIME/XtelsYN-7dI/AAAAAAALsgE/6oahSNw0c2QdYI6iH5VcnLt2EJdj915EACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dh_ifdu7JAk/XtelsfsbUFI/AAAAAAALsgI/_2-F9nenUV0wQtVPnu_l9FpbPV1dG_4kgCLcBGAsYHQ/s640/84a6986d-2121-4a57-abf9-de48cd7bf8c4.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kampuni yatoa mitambo kuongeza uzalishaji umeme
KAMPUNI ya GE Power & Water Distributed Power, imetoa vifaa viwili na mitambo minne itakayosaidia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme kwa asilimia 15 kwa Kampuni ya Jacobsen Elektro AS,...
10 years ago
Habarileo15 Dec
Wafuga nyuki watakiwa kulinda misitu
WAFUGA nyuki nchini wametakiwa kutunza vema misitu iliyopo ili iweze kuwasaidia ipasavyo katika shughuli zao za ufugaji nyuki.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-768x452.jpg)
SIMBACHAWENE-MASHINE MPYA KUONGEZA UZALISHAJI WA VITAMBULISHO NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-768x452.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa wizara, jijini Dodoma, ambapo ameahidi kuwashughulikia watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida) wasiotoa huduma stahiki kwa wananchi wanaofika kuomba vitambulisho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-1024x623.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dkt. Anold Kihaule (kulia) wakati wa Mkutano na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_100245.jpg)
Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100245.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u4XDO9bRSp4/Xk_Z-NBTjcI/AAAAAAALerY/nGGZlJYuVFo3l194zQBDsI-jtiTzQ8MNACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100808.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tGekAAhW6kM/Xk_Z-d3avfI/AAAAAAALerg/MD48jm58cEQW0oC1QxrjbTGNq5Qmcz-QQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_101209.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10