Kwandikwa awataka wananchi wa Bukoba kuongeza uzalishaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-v6lsyyeUhYQ/XtelqSIT2UI/AAAAAAALsf4/V0n_MZpcWdkog4DcGUQCsidh_bj8BF-JACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Muonekano wa barabara ya Kyaka-Kanazi-Kietema Km 60.65 inayotarajiwa kujengwa na Serikali kwa kiwango cha lami mkoani Kagera.
Muonekano wa Kivuko cha Kyanyabasa kinachotoa huduma kwa wananchi wa Bukoba Vijijini ambacho kinatarajiwa kuboreshwa na Serikali ili kukidhi mahitaji ya eneo hilo.
Mbunge wa Jimbo la Bukoba vijijini, Jasson Rweikiza akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandikwa alipokagua kivuko cha Mv. Kyanyabasa kinachounganisha kata 18 kati ya 29 za jimbo hilo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Tanzania kuongeza uzalishaji wa asali
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kampuni yatoa mitambo kuongeza uzalishaji umeme
KAMPUNI ya GE Power & Water Distributed Power, imetoa vifaa viwili na mitambo minne itakayosaidia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme kwa asilimia 15 kwa Kampuni ya Jacobsen Elektro AS,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-768x452.jpg)
SIMBACHAWENE-MASHINE MPYA KUONGEZA UZALISHAJI WA VITAMBULISHO NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-768x452.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa wizara, jijini Dodoma, ambapo ameahidi kuwashughulikia watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida) wasiotoa huduma stahiki kwa wananchi wanaofika kuomba vitambulisho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-1024x623.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dkt. Anold Kihaule (kulia) wakati wa Mkutano na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bXYdBtGXBxY/VGIJ1L5KhkI/AAAAAAAGwkk/TlUZMem-64Y/s72-c/002.KILIMO%2BKLABU.jpg)
Matumizi ya simu za mkononi kuongeza uzalishaji na mapato ya wakulima 30,000 nchini
Wakulima wadogo wa Tanzania watanufaika kiteknolojia kupitia huduma inayojulikana kama Kilimo Club.Kwa huduma hii wataweza kutumia huduma ya M-Pesa kutuma na kupokea fedha ikiwemo kufanya malipo wakati huo huo...
5 years ago
MichuziKIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbVQQ5deDwcC5DoBQhhcjNIn*cIb6lr5k4PXr1DthlVy4O*fvsclYFIoHzUw5zPaCKy3AkVqsxzg2LEV0qpGQ0SR/002.KILIMOKLABU.jpg?width=650)
MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI KUONGEZA UZALISHAJI NA MAPATO YA WAKULIMA 30,000 NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uBusYA3VZFc/XtpDN24YY6I/AAAAAAALstI/a1ACmcJQ6OoNC20-UZGsyTtOHMWfy4smQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200604_135659_0.jpg)
AWESO AAGIZA RUWASA NA DAWASA KIBAHA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAJI ILI KUONDOA MGAO KIPANGEGE
NAIBU Waziri Wa Maji ,Jumaa Aweso ameiagiza RUWASA na DAWASA Mkoani Pwani ,kuongeza uzalishaji wa maji na kusimamia mradi wa maji wa Kipangege Kibaha ,ili wananchi wanaondokane na tatizo la kupata maji kwa mgao ,kwani wananchi hao wamechoshwa na maji ya kudunduliza .
Aidha ameielekeza ,RUWASA Mkoani hapo ,kuhakikisha wanamuondoa msimamizi wa mradi wa maji wa Kipangege, Kibaha na kuurudisha mradi mikononi mwa Jumuiya ya watumiaji ili kuondoa kero ya...