KIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZMCG4j2FuuU/XpG0EOlK1UI/AAAAAAALmyk/Rxs4cnRb8sY2q02lKUuhCVkLsvHn6d2UgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mansoor%2BMoiz.jpg)
KIWANDA CHA AFRICAB KINAVYOSISITIZA UBORA KATIKA UZALISHAJI BIDHAA ZA PVC
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZMCG4j2FuuU/XpG0EOlK1UI/AAAAAAALmyk/Rxs4cnRb8sY2q02lKUuhCVkLsvHn6d2UgCLcBGAsYHQ/s400/Mansoor%2BMoiz.jpg)
UWEPO wa biashara ya mabomba ya plastiki (PVC) yasiyo na ubora katika soko nchini kwa kiasi kikubwa kumetajwa kuchangiwa na baadhi ya wenye viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo kutozingatia sheria sambamba na waagizaji wasio wa nje ya nchi wasio waaminifu.
Hatua hiyo pamoja na mambo mengine imebainishwa kuwa moja ya sababu kuu ya wananchi kupata hasara mbalimbali hususani pale linapotokea bomba hilo kupasuka na kusababisha athari katika njia za umeme na wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s72-c/IMG_1385.jpg)
KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s1600/IMG_1385.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ehbpl8K2QI/UzTktARLNKI/AAAAAAACdks/yNHvD535kd4/s1600/IMG_1391.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kampuni yatoa mitambo kuongeza uzalishaji umeme
KAMPUNI ya GE Power & Water Distributed Power, imetoa vifaa viwili na mitambo minne itakayosaidia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme kwa asilimia 15 kwa Kampuni ya Jacobsen Elektro AS,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s72-c/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s640/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/74f9846a-cdee-4c35-839d-5114e1a66496.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
11 years ago
Dewji Blog26 May
Wadau wa Reli na Bandari walipotembelea kiwanda cha mitambo ya Umeme cha ABC
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughuikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme,pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.
Mh. Balozi Dr. Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika kiwanda cha utengenezaji wa mitambo ya umeme kinachojulikana kama Anglo Belgian...
11 years ago
GPLWADAU WA RELI NA BANDARI WALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA MITAMBO YA UMEME CHA ABC
9 years ago
StarTV22 Aug
Kiwanda cha nguo MWATEX Mwanza chasitisha uzalishaji
Mgao wa umeme unaoendelea kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa kwenye maeneo mbalimbali nchini umesababisha kusimama kwa shughuli za uzalishaji katika kiwanda cha nguo cha MWATEX jijini Mwanza.
Tatizo hilo la umeme ambala mpaka sasa halijapatiwa ufumbuzi imesababisha kiwanda hicho kushindwa kufanya shughuli zake za uzalisha jamba ambalo wamedai linachangia hasara
Uongozi wa kiwanda hicho umelazimika kuwapatia wafanyakazi wake likizo ya lazima kuanzia Agosti 15 mpaka Oktoba Mosi mwaka huu ingawa...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Symphorose Mhanza-Mwanamke fundi na mwendesha mitambo pekee kiwanda cha Konyagi
Bi. Symphorose Mhanza akiwa kazini katika kiwanda cha konyagi.
Ukifika katika kiwada cha Konyangi kilichopo eneo la Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kumkuta Bi.Symphorose Mhanza akiwa mitamboni huwezi kuamini kama ni mwanamke kutokana na anavyomudu kazi yake ya ufundi na uendeshaji mitambo.
Symphorose anasema kuwa japo kazi hii inaonekana kuwa ngumu kwa kuwa kuna wakati inabidi kutumia nguvu nyingi kama ilivyo desturi ya kazi za ufundi lakini ameizoea na anaipenda.
“Naipenda sana kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-14-1024x648.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO,AWATAKA KUONGEZA UFANISI KATIKA BIDHAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-14-1024x648.jpg)