Kampuni yatoa mitambo kuongeza uzalishaji umeme
KAMPUNI ya GE Power & Water Distributed Power, imetoa vifaa viwili na mitambo minne itakayosaidia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme kwa asilimia 15 kwa Kampuni ya Jacobsen Elektro AS,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Tanzania kuongeza uzalishaji wa asali
Tanzania inajipanga kuongeza uzalishaji na pato litokanalo na mazao ya nyuki kutoka wastani wa tani 19,000 za asali na tani 1,266 za nta hadi kufikia tani 138,000 za asali na tani 9,200 za nta.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameziagiza halmashauri za wilaya za mkoa huo, kuhakikisha kuwa kila kikundi cha ufugaji nyuki kinafikisha mizinga 100 na kinachukua hatua za kuzuia uharibifu wa mazingira, ukiwemo ukataji wa miti .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v6lsyyeUhYQ/XtelqSIT2UI/AAAAAAALsf4/V0n_MZpcWdkog4DcGUQCsidh_bj8BF-JACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kwandikwa awataka wananchi wa Bukoba kuongeza uzalishaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-v6lsyyeUhYQ/XtelqSIT2UI/AAAAAAALsf4/V0n_MZpcWdkog4DcGUQCsidh_bj8BF-JACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zVswxXU1m9I/XtelqgepJnI/AAAAAAALsf8/3KL2utP6t4QUrB-862y3onXv5PMYwwqcQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nk29XUzcl-k/XtelqtXTBvI/AAAAAAALsgA/0MTsdUkBdnsYKdhK7T2ATMNlOhEh9UXNgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oSxgUUTFIME/XtelsYN-7dI/AAAAAAALsgE/6oahSNw0c2QdYI6iH5VcnLt2EJdj915EACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dh_ifdu7JAk/XtelsfsbUFI/AAAAAAALsgI/_2-F9nenUV0wQtVPnu_l9FpbPV1dG_4kgCLcBGAsYHQ/s640/84a6986d-2121-4a57-abf9-de48cd7bf8c4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-768x452.jpg)
SIMBACHAWENE-MASHINE MPYA KUONGEZA UZALISHAJI WA VITAMBULISHO NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-768x452.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa wizara, jijini Dodoma, ambapo ameahidi kuwashughulikia watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida) wasiotoa huduma stahiki kwa wananchi wanaofika kuomba vitambulisho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-1024x623.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dkt. Anold Kihaule (kulia) wakati wa Mkutano na...
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10