KIWANDA CHA AFRICAB KINAVYOSISITIZA UBORA KATIKA UZALISHAJI BIDHAA ZA PVC
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZMCG4j2FuuU/XpG0EOlK1UI/AAAAAAALmyk/Rxs4cnRb8sY2q02lKUuhCVkLsvHn6d2UgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mansoor%2BMoiz.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
UWEPO wa biashara ya mabomba ya plastiki (PVC) yasiyo na ubora katika soko nchini kwa kiasi kikubwa kumetajwa kuchangiwa na baadhi ya wenye viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo kutozingatia sheria sambamba na waagizaji wasio wa nje ya nchi wasio waaminifu.
Hatua hiyo pamoja na mambo mengine imebainishwa kuwa moja ya sababu kuu ya wananchi kupata hasara mbalimbali hususani pale linapotokea bomba hilo kupasuka na kusababisha athari katika njia za umeme na wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s72-c/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA KATIKA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI CHA KARANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s640/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-14-1024x648.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO,AWATAKA KUONGEZA UFANISI KATIKA BIDHAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-14-1024x648.jpg)
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3-DETLSWB0U/Xt0TpIIMAHI/AAAAAAALs7c/cB5WXvh5hnk7Iy6SYvGsSXTVKlIlvw36ACLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-2048x1365.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WAZIRI MHAGAMA AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI KARANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3-DETLSWB0U/Xt0TpIIMAHI/AAAAAAALs7c/cB5WXvh5hnk7Iy6SYvGsSXTVKlIlvw36ACLcBGAsYHQ/s640/N-1-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N-2-scaled.jpg)
9 years ago
StarTV22 Aug
Kiwanda cha nguo MWATEX Mwanza chasitisha uzalishaji
Mgao wa umeme unaoendelea kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa kwenye maeneo mbalimbali nchini umesababisha kusimama kwa shughuli za uzalishaji katika kiwanda cha nguo cha MWATEX jijini Mwanza.
Tatizo hilo la umeme ambala mpaka sasa halijapatiwa ufumbuzi imesababisha kiwanda hicho kushindwa kufanya shughuli zake za uzalisha jamba ambalo wamedai linachangia hasara
Uongozi wa kiwanda hicho umelazimika kuwapatia wafanyakazi wake likizo ya lazima kuanzia Agosti 15 mpaka Oktoba Mosi mwaka huu ingawa...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mZhfCp-JlLc/U9CxiXlSt_I/AAAAAAAF5dA/MOCSU7dCycQ/s72-c/Ukaguzi+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...